mgeni wenu
JF-Expert Member
- Jan 2, 2012
- 3,664
- 1,729
Katika uchaguzi wa marudio kata Nyasura Wilaya ya Bunda Chama cha Mapinduzi kilimteua mgombea wake aitwaye CHINGA na baadae kujitoa na Kikamuomba Mfanya biashara maarufu mjini hapa aitwaye Kweka kusimama,taarifa Rasmi nilizozipata Kweka amejiondoa usiku wa kuamkia Leo na CCM wana haha kupata mtu mwingine
UPDATE:Kamati ya Siasa ya Mkoa imekaa mjini Bunda akiwemo Mkuu wa Mkoa,Mwenyekiti wa CCM mkoa na wajumbe ili kutafakari jinsi ya kunusuru Aibu iliyo mbele yao Maana Form zinaanza kutolewa Tarehe mbili.. Jopo la Wafanya Biashara wa Mara wenye asili ya Kichagga wamemkataza Kweka kuingia kwenye Siasa za CCM kwa kuwa Mbunge wa Bunda amekuwa akisema CHADEMA ni chama cha Wachaga,Mjumbe wa NEC shinyanga mjini ambae ni Mchaga ametumwa kuja Bunda Kuongea na Umoja wa Wachaga Bunda kuinusuru Hali na kuokoa CHAMA
UPDATE:Kamati ya Siasa ya Mkoa imekaa mjini Bunda akiwemo Mkuu wa Mkoa,Mwenyekiti wa CCM mkoa na wajumbe ili kutafakari jinsi ya kunusuru Aibu iliyo mbele yao Maana Form zinaanza kutolewa Tarehe mbili.. Jopo la Wafanya Biashara wa Mara wenye asili ya Kichagga wamemkataza Kweka kuingia kwenye Siasa za CCM kwa kuwa Mbunge wa Bunda amekuwa akisema CHADEMA ni chama cha Wachaga,Mjumbe wa NEC shinyanga mjini ambae ni Mchaga ametumwa kuja Bunda Kuongea na Umoja wa Wachaga Bunda kuinusuru Hali na kuokoa CHAMA