CCM badilisheni Katibu mkuu

CCM badilisheni Katibu mkuu

Namkubali sana KM Daniel Chongolo. Anafanya vema kwenye nafasi yake kama mtendaji mkuu wa chama.

Hana mbwembwe na anajua mipaka yake. Kazi za kueneza siasa na propaganda sio jukumu lake.
 
Namkubali sana KM Daniel Chongolo. Anafanya vema kwenye nafasi yake kama mtendaji mkuu wa chama.

Hana mbwembwe na anajua mipaka yake. Kazi za kueneza siasa na propaganda sio jukumu lake.
Siasa za propaganda hazifai wala hazitakiwi hata kuenezwa na yeyote.
 
Katibu mkuu wa Sasa haendani na Kasi ya sasa na ninaona Kama Kazi ya ukatibu mkuu imemshinda na ujio wa Makonda umemfunika vibaya sana.

Nafikiri sasa Ni wakati wa kumpa nafasi mtu kama Polepole " HP " wapige kazi na Paulo Makonda " PM" ,pata picha hiyo wale mawziri mizigo wataacha kazi wenyewe watakimbia show za hao mabwana .Na vilevile wale wahuni na janja janja watatafuta chaka la kujifichia manake itakuwa ni show show tu

Kazi ya chama itakwenda vzr sana na chama kitakuwa maarufu kuliko chama chochote Hapa Tanzania

Chongolo atafutiwe kazi zingine za kufanya manake Yuko Yuko tu hajui ashike lipi aache lipi ",his not fit for these positions"

Kwa Sasa safarini kuelekea
Mabibo dsm
Naunga mkono hoja aidha niweke wazi pia hata Gigy money hiyo nafasi ni kubwa sana kwake hana maono, hana mikakati wala dira yupo yupo tu, nadhani pia tathmini ndani ya chama inahitajika kama kuna upenyo 2025 yafanyike mafekeche aje kiongozi sio model
 
Back
Top Bottom