CCM badilisheni Katibu mkuu

CCM badilisheni Katibu mkuu

dr namugari

JF-Expert Member
Joined
Nov 19, 2022
Posts
10,751
Reaction score
18,766
Katibu mkuu wa Sasa haendani na Kasi ya sasa na ninaona Kama Kazi ya ukatibu mkuu imemshinda na ujio wa Makonda umemfunika vibaya sana.

Nafikiri sasa Ni wakati wa kumpa nafasi mtu kama Polepole " HP " wapige kazi na Paulo Makonda " PM" ,pata picha hiyo wale mawziri mizigo wataacha kazi wenyewe watakimbia show za hao mabwana .Na vilevile wale wahuni na janja janja watatafuta chaka la kujifichia manake itakuwa ni show show tu

Kazi ya chama itakwenda vzr sana na chama kitakuwa maarufu kuliko chama chochote Hapa Tanzania

Chongolo atafutiwe kazi zingine za kufanya manake Yuko Yuko tu hajui ashike lipi aache lipi ",his not fit for these positions"

Kwa Sasa safarini kuelekea
Mabibo dsm
 
Hilo ni kweli, anaweza kuwa ni mzuri sana kwa mambo ya ofisini na mwaminifu lakini kwa ukatibu mkuu, mimi naunga mkono hoja. Maji yamemzidi kimo.

Na hivi makonda aliwahi kuwa boss wake huko nyuma, atakoma ubishi.
 
Sio chongolo tu, hata wakiweka kongoro, ni bado wanatuzingua, nchi miaka dahali wa dahali toka tupate umeme vitu vya msingi shida. Umeme, maji, huduma za afya, barabara, yaani kila kitu hovyo tu
Nini kifanyike mkuu
 
Katibu mkuu wa Sasa haendani na Kasi ya sasa na ninaona Kama Kazi ya ukatibu mkuu imemshinda na ujio wa makonda umemfunika vibaya sana . nafikiri sasa Ni wakati wa kumpa nafasi mtu kama polepole " HP " wapige kazi na Paulo makonda " PM" ,pata picha hiyo wale mawziri mizigo wataacha kazi wenyewe watakimbia show za hao mabwana .Na vilevile wale wahuni na janja janja watatafuta chaka la kujifichia manake itakuwa ni show show tu


Kazi ya chama itakwenda vzr sana na chama kitakuwa maarufu kuliko chama chochote Hapa Tanzania


Chongolo atafutiwe kazi zingine za kufanya manake Yuko Yuko tu hajui ashike lipi aache lipi ",his not fit for these positions"

Kwa Sasa safarini kuelekea
Mabibo dsm
Makonda ndio Katibu Mkuu ajae. Komredi Polepole anarudia Uenezi. Asante
 
Kuna kitu unachanganya au mahaba umezidisha,kamwe usimwamini mtu katika hao,hii nchi tunayo kwa nzia siku nyingi sana na tunaijua na tunawajua hawa,achana na hii kitu,kafanye kazi ulishe family yako
 
Kasi ya sasa👇🐒🐒🐒
 
Kweli kabisa, apewe Lengai Ole Sabaya , huyo ndio ataendana na utendaji kazi na Makonda
 
Katibu mkuu ni mtendaji , ndiye anayepanga na kuratibu shughuli zote za chama. Mwenezi ni mtu wa propaganda anatangaza yale ambayo katibu mkuu ameshayachakata. Hivyo Katibu ni mtaalam na si mtu wa mbwembwe
Chongolo hapan bhan
 
Katibu mkuu wa Sasa haendani na Kasi ya sasa na ninaona Kama Kazi ya ukatibu mkuu imemshinda na ujio wa Makonda umemfunika vibaya sana.

Chongolo atafutiwe kazi zingine za kufanya manake Yuko Yuko tu hajui ashike lipi aache lipi ",his not fit for these positions"
Naunga mkono hoja
P
 
Hilo ni kweli, anaweza kuwa ni mzuri sana kwa mambo ya ofisini na mwaminifu lakini kwa ukatibu mkuu, mimi naunga mkono hoja. Maji yamemzidi kimo.

Na hivi makonda aliwahi kuwa boss wake huko nyuma, atakoma ubishi.
Naunga mkono hoja
P
 
Back
Top Bottom