Kutokana kambi ya Mh Batilda Buriani iliyokuwa ikisaidiwa na Mh. Lowassa kuisambaratisha kambi ya aliyekuwa mbunge wa kipindi kilichopita Mh. Felix Mrema, CCM Arusha inaonyesha kutokuwa na nguvu tena.
Mambo yafuatayo ndio chanzo cha kuishiwa nguvu CCM Arusha.
1. Ukabila- Uchaga na Umasai
2. Pesa - Kati ya kambi hizi mbili (Lowassa v/s Felix Mrema)
3. Kukomoana- Bora wao wakose Chadema ichukue
Kenye picha ni baadhi ya wapiga debe wa kambi ya Mh. Edward Lowassa na Batilda Buriani.
Mambo yafuatayo ndio chanzo cha kuishiwa nguvu CCM Arusha.
1. Ukabila- Uchaga na Umasai
2. Pesa - Kati ya kambi hizi mbili (Lowassa v/s Felix Mrema)
3. Kukomoana- Bora wao wakose Chadema ichukue
Kenye picha ni baadhi ya wapiga debe wa kambi ya Mh. Edward Lowassa na Batilda Buriani.