CCM and UDASA, this is shameful

midahalo iliyotangulia ccm walionekana kuzidiwa. ghafla leo mambo yakaonekana kugeuka na maongezi ya pale yalionyesha wazi kuwa kulikuwa na maandalizi fulani upande mmoja.Ila Mwigulu alikuwa mjanja katika hoja zake kwa ujumla alikuwa objective.
 
Wakikataa wataenda kuuza sura wapi wakati unajua kuwa wao ni wazee wa kuuza sura kwenye vyombo vya habari.

ukweli huwa haubadiliki,mtu kama TL,machali na kafulila sio watu wa kuuza sura.yeyote anaefuatilia siasa za tz anawajua vema.kaa kimya ufiche ujinga wako.
 

udasa ssssm damu damu siku hizi kwa matangazo kwanza hakuna
 
Vijana tunatakiwa tujue kwamba tutavuna tulichopanda yaani unapewa elfu kumi halafu kesho unanyang'anywa milioni moja...jamani tufunguke uoga wetu ndo umasikini wetu
 
midahalo iliyotangulia ccm walionekana kuzidiwa. ghafla leo mambo yakaonekana kugeuka na maongezi ya pale yalionyesha wazi kuwa kulikuwa na maandalizi fulani upande mmoja.Ila Mwigulu alikuwa mjanja katika hoja zake kwa ujumla alikuwa objective.

mwigulu mjanja sana,anajua ukawa wana hoja.
 
Kwa mdaharo wa leo nimejifunza mambo mengi sana ya ajabu kwa wasomi wetu. Na kilichonisikitisha ni wasomi kutoka chuo kipi?. Sehemu ambapo inaaminiwa na watu wengi kuwa greater thinkers wa Tanzania ndipo walipo au wanategemea kutoka....duuuuuu!!!!. Niachane na hilo nirudi kwenye maada yangu niliyokusudia kuitoa.

Dr.kitila kasifiwa leo na CCM hasa Lukuvu kuwa ana akili sana,na Lukuvi amesisitiza na kumuomba Kitila afanye utafiti kuhusu kama kweli Muungano wa watu watatu yaani UKAWA una nia thabiti au njema ya kupata katiba mpya?. Wamekuomba wao,na ukifanya hivyo watakusaidia sana maana watawala wanapenda kusifiwa.

Mfano,lukuvi anajua kabisa Kitila na CHADEMA wana UGONVI, ivi mtu mwenye akili unategemea huyu atakuja na majibu ambayo kweli yanaonyesha uhalisia wa utafiti....maana yeye mwenyewe ana interest. Dr. Fanya hicho kitu haraka sana na watakupa pesa nyingi na utakuja na majibu wanayotaka wao ili wayatumie kwenye midaharo..fanya....fanya haraka. Unaweza ukajifungia hotelini siku tano au wiki ukamaliza machezo.

Nilitegemea angalau AWAAMBIE wana UDASA kwa ujumla na si Dr.Mkumbo. Dr. Dili hilo fanya na pesa ipo nadhani maana wao ndio wamekuomba. Usiwape majibu tofauti baada ya utafiti maana hawatakupa hizo pesa.
 
Kilichoniuma Ni Jinsi Upendeleo Wa Wazi Kwa Wachangiaji Yaani WacCm Kibao Halafu Mwishoni Walisema Dk Mbili Wakampa Lukuvi Dkika 45 Amalizie, Haya Nikasema Nikajiliwaze Na Matokeo Ya Taifa Starz Nako Tumechezeia, Nchi Hii! Aaah Cjui Niende Wapi?
 
blah blah nyingi lakini kwa ujumla nakubaliana na 50% ya hoja

Hakuna jipya kwenye hii midahalo mingi yake ina malengo mahsusi yalijificha,Na ikiwa kama wale wanaojiita wasomi wanashindwa kujenga hoja makini kuwashaishi kukubaliwa kwa hoja zao mjengoni basi wanapoteza mda wao bure.wananchi tutashawishika kwa hoja zenye mantiki na sio hoja shawishi.nakubariana kidogo na Mwiguru leo. nchi hii kuna kundi la watu wameamua kwa makusudi kuwafanya wananchi kama manyumbu yanapelekwa tu na wanasiasa hao wanajiita wasom lakini kiukweri ni watu waliobeba ajenda yao.walaaniwe wote.
 
Kiukwel mie nahisi watanzania tunahitaji elimu sana kuondoa mgando wa fikra, tunawezaje kuwa na wasomi ambao wanabailika badilika katika mawazo yao ambayo wameyaandika katika vitabu vyao mbalimbali? kiukwel mie kama mwanafunzi sijui nijifunze nini kutoka kwa hawa ma prof na ma dr ambao wanatuasa tusome vitabu vyao. Inakuaje prof unashindwa kujenga, kupambanua hoja na hata kujieleza tu kwel? Kama wasomi wetu ndo hawa basi tunasafari ndefu sana
 
Mkuu Makene, kwa welevu walioangalia kongamano hilo ni wazi atagundua udasa imeanza kutumika kama ile bidhaa ya wapenzi c.nd.m. Taasisi ya juu namna hiyo inageuzwa kitengo cha propaganda ya CCM. Cha ajabu zaidi wazungumzaji walikuwa wamepangwa na walikuwa wamelishwa maneno, hawakuwa huru na nafsi zao ziliwasuta na zitaendela kuwasuta.

Viti vyote pale chini walikuwa wale vijana wa kukodiwa na wachache pale juu. Kuna mwana JF alisema wameandaa vijana wa kukodi na kwamba akiingia ukumbini anaingizwa kwenye payroll tukampuuza ila leo wametuaminisha.

Tunawashukuru kwa kutufumbua macho watanzania kwa kujua mbinu chafu na hila zao (CCM) na kwamba UKAWA kamwe msidanganyike mkarudi Bungeni. Wanaposema njooni tutaelewana ni mtego mbaya sana na mkidhubutu watanzania tulio nyuma yenu hatutawaelewa kabisa na mtakuwa mmetutusi sana. Chonde chonde msirudi bungeni.

Eti mchangiaji (Lukuvi) ndo anakuwa wa kuweka hitimisho tena kwa nusu saa ila watoa mada dakika 2. CCM shame on you.
 
Mambo ya kawaida kwenye demokrasia, sasa upinzani hata hamtaki cha kibisha?! Wengine tunapenda yawepo kama challenge kwenu upinzani, hasa ukichukulia upinzani wenyewe ni kama wa kichaga au kipemba..
 
Hii imetokea leo baada ya yeye na mwenzake Robert Gwanchele kukutwa akiwa na Vijana wa Uvccm mr Assenga na Paul Makonda akizomea vibaya Wazungumzaji wa UKAWA na kuishabikia CCM hasa wakati ambapo Mwigulu na Wasila walipokuwa wakizungumuza katika kongamano la Katiba ukumbi wa Nkuruma chuo kikuu cha Dar es salaam leo jioni.

Huyu bwana hivi karibuni ameonekana akiwa na viongozi wa Act wakipanga mikakati ya kununua baadhi ya makada wa CHADEMA wajiunge na ACT chaajabu leo tena alikuwa bega kwa bega na vijana hawa wa CCM wakizomea kwa pamoja UKAWA na akisahau kabisa kuwa kiongozi wake Dr mkumbo amewaunga mkono UKAWA, hivi hao waliomuchagua anawatumikia saangapi kama ndo kila siku kubadili vyama vya siasa nawapambe wake akina Gwanchele?

Vijana jamani kuna haja ya kulazimishana wote kujitambua kama ni nguzo na msaada mkubwa saaana wa taifa hili hapo baadaye badala ya kuendelea kuwa wabeba mabegi ya wanasiasa kama hawa marafiki zangu Chagulani begi la mwigulu na Robert Gwanchele begi la Chagulani.Kijana mwenzangu wewe unasemaje katika hili la kutumikia vyama viwili na kubebea watu mabegi yao kama mtu uliyekomaa kifikira?
 


acha porojo wew bana ni mjenga hoja mzuri sana cie anaetufundisha tunamfahamu vizuri na tunamkubali hana bias ccm au chadema wakiboronga huwa hakwepeshi,acha mawazo ya kibavicha.
 
Makene...

Ni kwa nini Tundu Lissu asingekataa mwaliko?...

Ilishaelezwa hapa nini CCM wanafanya kuhusiana na Kongamano hilo...Nimeshangaa sana kuwaona Lissu, Machali , Kafulila na wajumbe wengine wa UKAWA kama sehemu ya Kongamano hilo...

Bala,
Hoja ya Makene ni CCM kuitumia taasisi ya UDASA kukodi vijana wahuni kuja kuharibu mdahalo.
Hio haihusiani kabisa na Presence ya UKAWA pale.
By the way,Kama UKAWA wasingekuwepo wangemzomea nani wale wahuni /
 
Hata wasira kuchelewa ilikuwa janja tu ... Everything was planed !! But we are brave ! We can
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…