CCM and UDASA, this is shameful

CCM and UDASA, this is shameful

Hao cdm wanatafuta serikali iwe kwa uongo, maandamano hata kwa mabomu hivyo sishangai hizo hoja zao zisizokuwa na mashiko.
 
Mdahalo ulikuwa leo Ubungo Plaza. Professor Palamabundi kamaliza kila kitu. Mzee Butiku naye katoa ya moyoni
 
Hao akina Butiku mbona hawakuyazungumza mapungufu ya Muungano wakati wakiwa ktk uongozi wa nchi yetu? Kama waliuchezea ujana wao imeshakula kwao.
 
vipi ushakaba na kuibia wangapi mwezi huu!!! chaga boy kumbe hata akina bangi lisu wanahongwaga... hahahahah mmeshapotezana nyie
Ndio mchango wako unaouona wa maana sana hapa.Nikakabe ya nini wakati nikiingia kwa waswahili naweza wanunua mkopo ktk duka lenye dhamani ya laki 3 tuu hadi nakuwa billionea. Akili yenu mnasubiri kutawaliwa kwa vita wakati akili zenu tunazichambia sasa hivi.
 
contradiction!!!!!!!!!!!! hizi ni double standard za ajbu akbisa toka kwa BAVICHA. nawadharau sana hawa jamaaaaaa
Si wewe wa kwanza kuwadharau hadi ukutane nao.Hata wanyama mwituni na watu wengine huwa hawamuongopi simba wakimwona kwa mbalia ila wakibahatika kumsikia akinguruma....ndio akili uwajia.Na wakimwona anavyofanya wanyama many times his size.Ndipo hukubali nani mfalme.Tabia zenu za mizaha pwani ndizo huwaponza na kuwaingiza ktk shida msiyoweza toka.
 
Ndio mchango wako unaouona wa maana sana hapa.Nikakabe ya nini wakati nikiingia kwa waswahili naweza wanunua mkopo ktk duka lenye dhamani ya laki 3 tuu hadi nakuwa billionea. Akili yenu mnasubiri kutawaliwa kwa vita wakati akili zenu tunazichambia sasa hivi.
hahahaaaaa. akili!!! zipi haswa??
akili za ukabila na ubinafsi. kamwe mbwa hawatakanyaga nyumba takatifu. hilo hata msali uchi haliwezi kuwa vinginevyo. tumewafanya binzari kazi yenu kunogesha mboga lakini hata ikikosekana hakuna shida
 
Hao akina Butiku mbona hawakuyazungumza mapungufu ya Muungano wakati wakiwa ktk uongozi wa nchi yetu? Kama waliuchezea ujana wao imeshakula kwao.

Muungano uliwezekana kipindi hicho cha zama za mawe,kwa mazingira ya sasa hauwezekani tena hivyo wazee wetu wana haki hiyo
 
Kijana mwakilishi wa wanachuo yule uv-ssm,alimbwela kwani alitumwa, hakusema chochote zaidi ya kutangaza sera yao ya chama,KAMA VIJANA HAWAWEZI KUTHINK NI SHIDA KUBWA,KWA MBWEMBWE ETI VIJANA TUNASEMA SERIKALI MBILI NDIO INAFAA,ILHALI VIJANA TOKA VYUÖN WAKO MAZOEZIN KWA VITENDO WAPO HOI,Vijana wanatumwa na wanatumika(watumwa).
 
Kiukweli ule mdahalo ulikuwa ni wa aibu haulingani na hadhi ya chuo kikuu watu baadala ya kujenga hoja na kusikiliza hoja wanashangilia na kutoa kejeli kwa watoa hoja, UDASA katlika kile kilichotokea juzi ni aibu kwa taasisi ya wasomi
 
Back
Top Bottom