january makamba siku ya kutangaza nia aliweka wazi kuhusu suala la gesi kwamba miaka kumi ijayo gesi itakuwa bado haijatoka kinachofanyika sasa ni miundo mbinu tu
10, year serikali na nchi imeyumba kwa kukosa rais asiye mtendaji na asiyependa urafikirafiki wa kijinga kazini,sasa tumaini la tanzania hii ni P, MAGUFULI TU,