CCK yawaonya CHADEMA

hivi vyama vinamilikiwa na CCM, mwenye masikio na asikie, hii sio kauli kutoka kwa kiongozi wa chama cha upinzani!
 
Yaan CCJ wamesogeza magoli wanajiita CCK,chama nikilekile na bila shaka nyuma ya pazia la CCK kuna viongozi wa CCJ
 
Kinacho waacha wasihangaikie sera za Chama chao na kuzungumzia Chadema ni nini?.
Au CCK ni chama cha kupinga CDM?
Watanzania tunahitaji mchango wao wa chama cha upinzani, tunawahitaji watoe mchango wao kwa Taifa, siyo mchango wa kuua upinzani.
Wanaombwa sana wawe makini zaidi kwa shughuli za kuboresha maisha ya mtanzania na siyo kuboresha Chadema!
Chadema inao watu wa kutosha kuiboresha.

Please focus on your responsibilities of an opposition party!
Tutawashukuru kwa hilo CCK.
 
NI vyema tendwa na kikwete mkajua kuwa utitiri wa kufungua branch nyingi za ccm eti mara CCK .ADC, sijui nin! haitawaweka salama eti msiondoke madarakani sasa hivi mpende mkaanzisha hata vyama elfu 10 CHADEMA wao wajiimarishe tu nchi inaondoka na mkae mkijua hata mamluki kama akina SHIBUDA ,na vijana wake, wote tunawajua na mtakanyagwa tu 2015 na mbinu zenu zilizopitwa na muda hizo
 
Huyo jamaa awalipe kwanza wafanyakazi wake ambao hakuwapa pesa yao alipokuwa kule kwenye ofisi yao ya mwananyamala!

Halafu sasa aje na matamko ya kuchekesha hapa.
 
Mkamia maji hayanywi. Hakuna haja ya kueneza chuki kati ya serikali na wananchi, kati ya wananchi na tbc, na sasa kati ya wananchi na mapolisi, na usalama wa taifa. Hawa vijana wanaojitoa muhanga kulinda nchi yao wasikatishwe tamaa. Ni wahalifu tu ndo wanaweza kusumbuliwa na polisi na usalama wa taifa. Ukiona kila siku hivi vyombo vinakuwinda basi jua kuna kitu unafanya au unapanga kinachoweza kuhatarisha usalama wa taifa. Hata viashiria vya nchi kutotawalika kupitia migomo vinawahusu.mtu ataingia madarakani kihalali na vyombo hivi vitamlinda mpaka amalize muda wake. Anayejidanganya kuwa anaweza kuitoa madarakani serikali halai ya tanzania kupitia nguvu ya umma ni mkimbizi asiyejua historia ya nchi hii. Apeleke hizo ndoto kwa waliomtuma hapa kiberiti kipo ndiiiiiii
May be we need a new definition of NATIONAL SECURITY! Killing your own people is what you call national security? I f the source of insecurity is CHADEMA why not killing chadema leaders instead of killing other innocent people? May be you are from other country, but if you are from Tanzania and you are Tanzanian then at least you should know there is nothing like security within POLICE system. Everybody knows that most of criminals are connected to police and its an organised crime! Leo mkuu unataka kutuaminisha kwamba yeyote anayepingwa na polisi TZ ni mhalifu! Hivi hata wanaowekewa bangi mfukoni na kubambikiwa kesi nao ni wahalifu? Dont cheat yourself brother, wanasiasa watabaki kuwa wanasiasa na sisi tuliobaki ni watanzania na tunahaki ya kuishi kwa amani. Kutumiwa na wanasiasa for the sake of even killing your brothers and sisters ni AIBU KUBWA KWAKO! Hivi kuna tofauti gani kati ya watu wa aina hii na wale wanaouwa mama zao au baba zao au watoto wao ili kupata utajiri kwa njia za USHIRIKINA? Nadhani tatizo lingine mkuu unaijua sana historia ya Tanzania kuliko ya Dunia. Historia ya dunia inatufundisha kwamba wananchi wakichoshwa huwa hakuna nguvu ya kuwazuia, ni kama mafuriko huwezi yazuia kwa kujenga ukuta! Hicho unachoita KIBIRITI HAKIWEZI KUWA ZAIDI YA MUNGU WA IBRAHIM, ISAKA NA YAKOBO! MUNGU AKITAKA LIWE LITAKUWA TU, HATA UKIWEKA HICHO KIBIRITI CHAKO UNACHOJIVUNIA! Its very simple brother to know which side God belong, its the side where they fight for love, peace and fairness and not their stomach! NEVER ON EARTH DARKNESS WILL WIN VERSUS LIGHT COZ GOD IS LIGHT!
 
Kwenye magazeti ya leo, ya Uhuru na Mtanzania, amenukuliwa Katibu mkuu wa chama kipya cha siasa, kilichopata usajili wa kudumu hivi karibuni CCK, Renatus Muabhi, akikionya Chadema, kuwa kinahatarisha maisha ya wafuasi wake, kwa kukaidi maagizo ya serikali, kuhusu uendeshaji wa shughuli zake za kisiasa, ambapo husababisha polisi, kuingilia kati kuzuia shughuli hizo, hadi wakati mwingine kusababisha maafa, kama yalivyotokea hivi karibuni huko Morogoro na Iringa.

Sikushangazwa sana na kauli hiyo, iliyotolewa na kiongozi wa ngazi ya juu kabisa ya chama hicho ya kukilaumu Chadema, badala ya kuilaumu polisi, ambayo ndiyo inafanya makosa makubwa,kwa kuzuia shughuli halali za baadhi ya vyama vya siasa, kwa visingizio vya kipuuzi.

Nasema sikushangaa, kwa kuwa baadhi ya vyama, vinavyojiita vya upinzani,vinaidhinishwa na msajili wa vyama vya siasa, kwa maelekezo maalum na CCM kwa kazi moja tu, ya kuwashambulia Chadema.

Tumemshuhudia Tendwa mwenyewe, akitumika na magamba kwa kutamka kuwa anakusudia kukifuta Chadema. Sasa ili hoja yake iwe na nguvu zaidi, anavitumia hivyo vyama CCM-B, kutoa matamshi ya aina hiyo ili aweze, kutekeleza azma yake ya kuifuta Chadema.

Lakini hata hivyo vyama hivyo CCM-B, na msajili wao wa vyama John Tendwa, nadhani, watakuwa wameipata, meseji aliyotuma, kamanda Mbowe kuwa, Tendwa kama haitakii mema nchi hii, athubutu kuifuta Chadema, aone moto utakaowaka nchini, ambao hakuna chombo chochote cha dola, kitakachokuwa na uwezo wa kuuzima!!

Zingatia pia kuwa chanzo cha habari ni UHURU na MTANZANIA (MAGAZETI YA CCM). Hii ni mbinu za kipropaganda inayotumiwa na CHAMA CHA MAUAJI ili kuhalalisha mauajia inayoratibu.
 
Kinacho waacha wasihangaikie sera za Chama chao na kuzungumzia Chadema ni nini?.
Au CCK ni chama cha kupinga CDM?
Watanzania tunahitaji mchango wao wa chama cha upinzani, tunawahitaji watoe mchango wao kwa Taifa, siyo mchango wa kuua upinzani.
Wanaombwa sana wawe makini zaidi kwa shughuli za kuboresha maisha ya mtanzania na siyo kuboresha Chadema!
Chadema inao watu wa kutosha kuiboresha.

Please focus on your responsibilities of an opposition party!
Tutawashukuru kwa hilo CCK.

Ndio kwanza wamepata usajili wa kudumu na ndio wameanza kutoa matamko. Inaashiria kuwa wamesajiliwa kwa kazi moja tu, kuvunja nguvu ya upinzani kwa maslahi ya ccm.
 
Kwenye magazeti ya leo, ya Uhuru na Mtanzania, amenukuliwa Katibu mkuu wa chama kipya cha siasa, kilichopata usajili wa kudumu hivi karibuni CCK, Renatus Muabhi, akikionya Chadema, kuwa kinahatarisha maisha ya wafuasi wake, kwa kukaidi maagizo ya serikali, kuhusu uendeshaji wa shughuli zake za kisiasa, ambapo husababisha polisi, kuingilia kati kuzuia shughuli hizo, hadi wakati mwingine kusababisha maafa, kama yalivyotokea hivi karibuni huko Morogoro na Iringa.

Sikushangazwa sana na kauli hiyo, iliyotolewa na kiongozi wa ngazi ya juu kabisa ya chama hicho ya kukilaumu Chadema, badala ya kuilaumu polisi, ambayo ndiyo inafanya makosa makubwa,kwa kuzuia shughuli halali za baadhi ya vyama vya siasa, kwa visingizio vya kipuuzi.

Nasema sikushangaa, kwa kuwa baadhi ya vyama, vinavyojiita vya upinzani,vinaidhinishwa na msajili wa vyama vya siasa, kwa maelekezo maalum na CCM kwa kazi moja tu, ya kuwashambulia Chadema.

Tumemshuhudia Tendwa mwenyewe, akitumika na magamba kwa kutamka kuwa anakusudia kukifuta Chadema. Sasa ili hoja yake iwe na nguvu zaidi, anavitumia hivyo vyama CCM-B, kutoa matamshi ya aina hiyo ili aweze, kutekeleza azma yake ya kuifuta Chadema.

Lakini hata hivyo vyama hivyo CCM-B, na msajili wao wa vyama John Tendwa, nadhani, watakuwa wameipata, meseji aliyotuma, kamanda Mbowe kuwa, Tendwa kama haitakii mema nchi hii, athubutu kuifuta Chadema, aone moto utakaowaka nchini, ambao hakuna chombo chochote cha dola, kitakachokuwa na uwezo wa kuuzima!!




Nivigumu kuielewa maana halisi ya demokrasia hasa kwa Tanzania yetu hii..........

Hivi sheria ipi inayo ruhusu polisi kuua raia........

Hivi ni sheria ipi inaruhusu polisi kupiga na kunyanyasa raia hata ktk mazingira ambapo raia huyo anaweza kudhibitiwa tu bila bugudha yeyote....Hebu tafakari kuhusu nguvu inayotumika pale raia mmoja asiye na utaalamu wowote ule wakukabili askari anadhibitiwa na askari wawili hadi nane wenye mafunzo maalum ya kukabili raia, marungu, mateke, makofi, ngumi, vitako vya bunduki?

Hivi sheria gani inamnyima raia uhuru wakujieleza............tafakari sababu za kipolisi oooh barabara ni nyembamba........askari wakuwalinda hawatoshi......................

Hivi ktk mazingira haya unatarajia raia wafanyeje?

Ilianza NCCR- watu wakapigwa sana wakasababishiwa ulemavu kwa manyanyaso ya askari (serikali)........Ikafuata CUF watu wakauawa.....,Sasa CDM..............................CCK mjiandae ( Usalama wenu ni kuendelea kuwa vibaraka wa CCM, wananchi hatuwaelewi.)

MUNGU IBARIKI TANZANIA.

TAFAKARI CHUKUA HATUA...................Vua Gamba..........Vaa uzalendo.
 
Back
Top Bottom