CCJ watua chadema, baada ya kwata ya msajili

CCJ watua chadema, baada ya kwata ya msajili

Invisible kaanzisha thread ya maana sana...Nilimwambia MKJJ kuwa Tendwa kaajiriwa na nani na anafanya kazi kwa matakwa ya nani,so ni muhimu kuanzia huko,kabla ya kufikiria ni yapi tutafanya mara baada ya kuing'o ccm,ni budi tufikiri namna ya kujenga mazingira ya kuwang'oa ccm,na ndio maana watu wanifikiria kuwang'oa hawa kwanza....hatuwezi kupambana na panya kwenye njia zao,utaloose tu,dawa ni kuflush out!
 
Bad move for a CCJ kwasababu CCJ and Chadema wana ideology tofauti swali linakuja wataendana? Labda wameshakubaliana but nadhani it is a time bomb

Na ndio maana nikamwambia MKJJ asikilize Mtei alikuwa na maana gani kusema zinaendana,pengine tutapata mwanga zaidi,tuwe positive na tujaribu ili kuwe na evidence kwamba imeshindikana kiukweli na si ku assume tu humu jamvini.
 
Mwanzo mzuri kuelekea ukombozi wa Mtanzania
 
Tulipata vijifununu mwanzo kabisa wat s going on inside of them,tukaona tubane kimya tuangalie,so let us wait.. yanaonekana yana ukweli ndani yake kutokana na yanayoendelea... Tz ni jaa la wanasiasa wenye njaa..
 
Mkuu MKJJ,

Tafadhali ingia humu uthibitishe hili, maana mnatuchanganya!!!
 
yah nawakubali usalama wa taifa sasa naona wameanza kujipenyeza chadema muda si mrefu chama kitapalaganyika. karibisheni ccj ila fungeni milango kwa wanakioo wa ccj
 
Tangazo kwa wana CCJ wote

sms.jpg
 
Back
Top Bottom