VUTA-NKUVUTE
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 6,140
- 18,004
Binafsi nashangaa sana nchi hii CCM hawana jipya na hakuna chochote,wanasukumwa na ukawa tu....ona elimu bure,bure!hakuna kitu hicho,mbina huku kwetu msingi ni bure je ni bure!...kauli za hovyo kwa watu hovyoNilipowasili tu jana usiku kutoka Arusha-kwa-Lema nikatamani kujua yaliyoendelea Kisiwandui, Zanzibar. Huko kulifanyika kikao cha Kamati Kuu ya CCM kilichofanya tathmini ya mambo kadha wa kadha yahusuyo chama.
Iliripotiwa kuwa ajenda ya wagombea urais ilikuwa moto na kumeafikiwa mambo magumu na mazito juu ya baadhi yao au wote. Nikataka kujua ukweli. Nikawasiliana na Mjumbe mmoja wa CC aliyekuwepo Kisiwandui.
Alichosema ni kuwa hakukuwa na jipya. Yamejadiliwa mambo ya kawaida sana ya kichama. Hata Ripoti ya Kamati ya Komredi Mangula iliwafagilia wagombea watarajiwa kwa kusema wamerekebishika na sasa wako safi.
Uchaguzi wa Serikali za Mitaa na maandalizi ya uchaguzi ujao yaliteka sana kikao husika. Wakati wa kuwajadili wagombea mbalimbali chamani,wajumbe waligawanyika na kila mchangiaji alimfagilia wa kwake.
"Hakukuwa na jipya ndugu yangu. Nikirudi tutaongea vizuri"nikaambiwa na kuahidiwa na mjumbe huyo wa CC.
Mambo yanakaribia patamu!
Mzee Tupatupa wa Lumbumba,Dar es Salaam
Najua usiyoyajua, sitaki kujua unayoyajua, yananitosha ninayoyajua, sitaki kujua kupitia unayoyajua, jua ya ufipa ya lumumba yatakufanya utoke jasho kwenye jua.
Unachanganya watu maana taarifa kwa mujibu wa Kubenea humu humu JF kikao ni leo 13/01/2015 hicho cha jana ni kipi wakati viongozi walikuwa kwenye sikukuu za Mapinduzi?
Huyu jamaa mpuuzi na muongo wa kutupwa kazi yake kutunga uongo tu cc wanakaa leo hicho anachosema kimekaa jana labda aliitisha petro mselewa ila siyo jk
hasira ya nini tena mkuu..au umevuliwa nguo
ishu ya multiple ID mtu huchelewi kuachwa bila nguoUmeona hapo juu muhusika alivyokuja kama mbogo kijana? Msitajetaje watu hovyohovyo. Shauri yenu
Mzee Tupatupa
mbona lugha yako inafanana na P.E.M?
Unanitaja nahusikaje hapa? Vijana wa CCM bure kabisa
Kijana,mwenzio nina bahati mbaya kufananishwa. Juzi niliulizwa kama nina undugu na Ndimara Tegambwage. Ni uandishi tu wa kushabihiana. Karibu Ofisini Lumumba.Ukifika niPM nikufuate
Mzee Tupatupa
wanasemaje bagamoyo..umeleta mananasi?
huwezi chezea akili za watu wazima muda wote..uongo wako umefika mwisho.
Kijana,hujui ninayoyajua.Unayajua ninayoyajua. Tusubiri tuone
Mzee Tupatupa
ningeshangaa sana kama wangelikuja na jambo jipya. Wameendesha nchi kwa miaka 10 kwa kupiga soga kwenye mikutano bila ya kuwa na kitu kipya sababu hakuna mbunifu yeyote wa maendeleo ya nchi kati yao zaidi ya kubuni namna ya kuiba hela ya umma. Creativity is zero.Nilipowasili tu jana usiku kutoka Arusha-kwa-Lema nikatamani kujua yaliyoendelea Kisiwandui, Zanzibar. Huko kulifanyika kikao cha Kamati Kuu ya CCM kilichofanya tathmini ya mambo kadha wa kadha yahusuyo chama.
Iliripotiwa kuwa ajenda ya wagombea urais ilikuwa moto na kumeafikiwa mambo magumu na mazito juu ya baadhi yao au wote. Nikataka kujua ukweli. Nikawasiliana na Mjumbe mmoja wa CC aliyekuwepo Kisiwandui.
Alichosema ni kuwa hakukuwa na jipya. Yamejadiliwa mambo ya kawaida sana ya kichama. Hata Ripoti ya Kamati ya Komredi Mangula iliwafagilia wagombea watarajiwa kwa kusema wamerekebishika na sasa wako safi.
Uchaguzi wa Serikali za Mitaa na maandalizi ya uchaguzi ujao yaliteka sana kikao husika. Wakati wa kuwajadili wagombea mbalimbali chamani,wajumbe waligawanyika na kila mchangiaji alimfagilia wa kwake.
"Hakukuwa na jipya ndugu yangu. Nikirudi tutaongea vizuri"nikaambiwa na kuahidiwa na mjumbe huyo wa CC.
Mambo yanakaribia patamu!
Mzee Tupatupa wa Lumumba,Dar es Salaam
Jipya utalipata mwezi wa tano.