brave one
JF-Expert Member
- Feb 5, 2013
- 4,879
- 7,393
hehehe... kuna watu unawakera hapo bas tu..Song tamu sana , huu ndo mziki
Sasa sijui hiyo ni live au recorded!!! wanasema eti hawezi imba live/....Ngoja waje team malalamiko watakwambia hajui kuimba live
Alikwambia anashinda na kiba kwa vocal nani? Diamond ana teste yake na waafrica wanaipenda , ndo kaama kila mwaka anakwarua tuzo africa nzima wanamjuaSauti kama anamemeza ugali wa moto inakwaruza balaa ajipange sana ndo atamfikia king kiba kwa vocal
Sikiliza vizuri huwo wimbo zen ulete mlejesho je sauti haikwaruzi???Alikwambia anashinda na kiba kwa vocal nani? Diamond ana teste yake na waafrica wanaipenda , ndo kaama kila mwaka anakwarua tuzo africa nzima wanamjua
Huyo wako mwenye vocal mwisho mombasa sijui nchi zingine hawamuoni?
Wewe mwenyew sauti yako inakwaruza, soma ulichoandikaSikiliza vizuri huwo wimbo zen ulete mlejesho je sauti haikwaruzi???
Kwan hao coke hawakumuona Ali mwenye vocal nzuri mbona wanamtaka huyo huyo saut inayokwaruza, chuki ni uchafu wa moyoSauti kama anamemeza ugali wa moto inakwaruza balaa ajipange sana ndo atamfikia king kiba kwa vocal
Diamond kaimba vizuri sana sio huyo kiba kubana sauti tu diamond hana mpinzani kwa alichokionesha hapoSauti kama anamemeza ugali wa moto inakwaruza balaa ajipange sana ndo atamfikia king kiba kwa vocal