Cashout 2.3M, au 18.6M? Nishaurini

Cashout 2.3M, au 18.6M? Nishaurini

Wakamaria mnateseka sana ndo maaana mmekonda sana! Oneni sisi wanahisa via tamisemi jana/leo tunachekelea tu mwendo wa mapochopocho 😁😁
 
Kama aliweza kutuma humu screenshot ya mwanzo kwa nini ashindwe kutuma hiyo aliyo win au aliyocashout,mambo kwa ishahidi vinginevyo kwa ukimya huu hatuna Imani na huo mkeka wa mwanzo kama kweli ni wake
 
Kama aliweza kutuma humu screenshot ya mwanzo kwa nini ashindwe kutuma hiyo aliyo win au aliyocashout,mambo kwa ishahidi vinginevyo kwa ukimya huu hatuna Imani na huo mkeka wa mwanzo kama kweli ni wake
Tusubiri mpira uishe ndio dakika ya 90.
aidha ali cashout dakika ya 30 au alikaza mpka goli la 3.
Meridian wanajishauri wamlipeje....tuwe wavumilivu tu
 
U
 

Attachments

  • Screenshot_20260623_220800_Chrome.jpg
    Screenshot_20260623_220800_Chrome.jpg
    69.9 KB · Views: 17
Back
Top Bottom