Yeah dakika ya 30 ilikuwa inasoma 8milion akacashoutJamaa alicashout inaonekana, roho itamuuma maisha yake yote
Mbuzi wa maskini hazaiYeah dakika ya 30 ilikuwa inasoma 8milion akacashout
tumsibiri kwanza maana alisema hawezi kupokea rushwa chini ya 10M au reply za juu haujaziona kingMbuzi wa maskini hazai
Nilivoshangilia goli kama nimebet mimi 🤣🤣🤣 any ways chochote alichopata ni sawa tu hajapoteza kitu!Kuni huu ukimya wako unatutia wasiwasi watu wako wa karibu....sema neno 😁
We ndugu vipi ulicash out?usi cashout.
NA hiyo million 2 usiingalie kabisa.
Ukiliwa unapoteza 10k, ukila unakula Millioni 18.
It worth the risk,,
Hakuna ukiwa mkamaria lazima uwe na miiko yako Binafsi biashara ya kucash out sifanyi kwa sababu nilishawah kufanya hivyo mara 3 najikuta napishana na gari la mshahara labda nikate bima kulinda stake.ni ngumu kaka FEAR always ina take over
Huyu jamaa anajua uwekezaji.Uoga wako ndio umaskini wako, niuzie mimi huo mkeka kwa 3 million
Mi pia nmeshangilia kama nmebetNilivoshangilia goli kama nimebet mimi 🤣🤣🤣 any ways chochote alichopata ni sawa tu hajapoteza kitu!