- Thread starter
- #321
Kawaida. Unaweza usiwe na njaa, bado ukawa na papara. Na unaweza kuwa maskini jeuri pia, utulivu 100%.Kwa style ya kubeti aliyotumia, inaonekana sio mtu wa njaa. Ni mtu anayejua anafanya nini
Kawaida. Unaweza usiwe na njaa, bado ukawa na papara. Na unaweza kuwa maskini jeuri pia, utulivu 100%.Kwa style ya kubeti aliyotumia, inaonekana sio mtu wa njaa. Ni mtu anayejua anafanya nini
Hongera sana mkuu. Unaitendea haki bettingKawaida. Unaweza usiwe na njaa, bado ukawa na papara. Na unaweza kuwa maskini jeuri pia, utulivu 100%.
🤣🤣🤣🤣 Daaaah bado bro mkeka wangu haujatikiEvelyn Salt umetulia tuliiii baada ya uthibitisho kukamilika...😂😂😂
kumbe tupo wengi...ngoja tusubirie tusimpigie kelele tajiri amelala bado🤣🤣🤣🤣 Daaaah bado bro mkeka wangu haujatiki
Afisa KUNI, hongera nyingi sana kwako afisa ubashiri mwenzangu.Kawaida. Unaweza usiwe na njaa, bado ukawa na papara. Na unaweza kuwa maskini jeuri pia, utulivu 100%.
Tengeneza mwingine mkuu utu bless na sisi maana kutoa posho kwa kila anayeomba itakuwa ngumu Sana, tupatie kila mtu apambane na Hali yakeHii ndo inanifanya nisicash out. Law of averages inakataa kwamba kila siku Portugal awe anazingua. Kesho anamnyeshea kibonde. NITARUDI
Atupe ndoano tukavue wenyeweTengeneza mwingine mkuu utu bless na sisi maana kutoa posho kwa kila anayeomba itakuwa ngumu Sana, tupatie kila mtu apambane na Hali yake
Sportybet unatoa milioni 5 kwa muamala mmoja sijajua kampuni zingine ila nyingi sana ni milioni 1 nafikiri hata hawa Meridian angalau kidogo betpawa unaweza toa milioni 3.Hapo ili usivurugane nao,uwe unatoa kidogo dogo .
Lasivyo utajikuta wanakuomba uthibitisho wa account na issue nyingine nyingi.
Leo mechi ya Canada in goals nyingi na wanafungana. Amua mwenyewe ujilipue kwa style gani.Atupe ndoano tukavue wenyewe
Sasa unadhani Kuna kitu chepesi cha kupata pesa?Hao wanaosema betting haina maana wana sababu ya kusema hivyo. Kwenye hao kuna ambao wana kazi zao wamejitosheleza hawaoni umuhimu wa betting, kuna wale wasiopenda na kufuatilia michezo, kuna wale walioliwa sana na Mhindi wakaamua kuacha.
Ni kweli betting ni ngumu, tena sana. Tulio ndani ya industry tunaona. Lakini imeshakuwa kama starehe.
Sasa waendekeze niniVIJANA MNAENDEKEZA KAMALI
Zote zinapumua vizuri mkuu uwe unatupia code nasisi tuokoteOdd nyingine 20+ bado zinapumua.
Hiyo ya kwanza imeshatoa 700+.Zote zinapumua vizuri mkuu uwe unatupia code nasisi tuokote
Salute mwanangu godoro lako litakua ni note tu kudadekiHiyo ya kwanza imeshatoa 700+.
Hata mimi sijaelewaOyaa KUNI hizo odds 26 ni option gani hiyo???sijaipata