Career moja mume na mke

Career moja mume na mke

kila jambo na muda wake, muda wa kazi ni kazi, nyumbani ni family business,
sio tu mkiwa career moja, hata kama mpo tofauti cheo kinatakiwa kuishia ofisini.
nyumbani ni mama au baba
I like this.
 
Maisha kama hayo yanakuwa bored mbaya, kozi kutakuwa Hamna mawazo mapya, let's say wote waalimu yani always mtakuwa mnazungumza kuhusu wanafunzi, taaluma, kusaidiana kusahihisha daftari, yan stori kama mpo ofisini bado yani,, but mmoja akiwa dokta mwngine mwalimu hapo hata mawazo mapya yanakuja, nakusimulia kuhusu hali halisi ya hospital kuhusu jinsi ya kujifungua na kufanya oparation, huku wewe pembeni unaandaa andalio lako la somo and life goes on......
 
Poleni na uchovu wa siku wandugu,

Imetokea mmekutana chuoni mnasoma course moja, mapenzi yamenoga mpaka mnamaliza shule mnakuja kuoana, wote mnafanya field moja let say wote maofisa wa kilimo, maengineer, walimu, wahasibu ect.

Nyumbani mnaweza kutokuongelea field zenu na kuwa na maongezi mengine, kama mkiendelea kuongelea mazungumzo ya kazini nyumbani ni kama mnafanya kazi 24 hrs.
Sahihi kabisa na mkizid mtaanza wasema wafanyakaz wenzenu
 
Sioni tatizo lolote maana mkirudi nyumbani kuna mengi ya kufanya sio kuzungumza mambo ya ofisini. But kama mko ofisi moja hapo sasa hapana maana hata uhuru hautakuwepo.
 
Back
Top Bottom