Career moja mume na mke

Career moja mume na mke

Sky Eclat

JF-Expert Member
Joined
Oct 17, 2012
Posts
58,636
Reaction score
220,350
Poleni na uchovu wa siku wandugu,

Imetokea mmekutana chuoni mnasoma course moja, mapenzi yamenoga mpaka mnamaliza shule mnakuja kuoana, wote mnafanya field moja let say wote maofisa wa kilimo, maengineer, walimu, wahasibu ect.

Nyumbani mnaweza kutokuongelea field zenu na kuwa na maongezi mengine, kama mkiendelea kuongelea mazungumzo ya kazini nyumbani ni kama mnafanya kazi 24 hrs.
 
Poleni na uchovu wa siku wandugu,

Imetokea mmekutana chuoni mnasoma course moja, mapenzi yamenoga mpaka mnamaliza shule mnakuja kuoana, wote mnafanya field moja let say wote maofisa wa kilimo, maengineer, walimu, wahasibu ect.

Nyumbani mnaweza kutokuongelea field zenu na kuwa na maongezi mengine, kama mkiendelea kuongelea mazungumzo ya kazini nyumbani ni kama mnafanya kazi 24 hrs.
mkuu we unafanya kazi kada ipi?
 
Mkiwa wagen wa kaz Mara nying mtazungumzia Hilo kadir muda unavyosogea mnajikuta mnapata mengne katika maisha watoto na mambo mengine
 
Yaani kukuliza tu ile issue ya ofisin ushakuja kunishtaki huku jmn, anyway next time nitajaribu kuvumilia mpaka tufike kazin nitajitahidi kuwa romantic tukiwa kwa nyumba.
 
Poleni na uchovu wa siku wandugu,

Imetokea mmekutana chuoni mnasoma course moja, mapenzi yamenoga mpaka mnamaliza shule mnakuja kuoana, wote mnafanya field moja let say wote maofisa wa kilimo, maengineer, walimu, wahasibu ect.

Nyumbani mnaweza kutokuongelea field zenu na kuwa na maongezi mengine, kama mkiendelea kuongelea mazungumzo ya kazini nyumbani ni kama mnafanya kazi 24 hrs.

Sio mbaya ili mradi mjiwekee utaratibu wa mambo ya ofisini muwe mnaacha mlangoni
Then mkifika ndani ni mambo ya familia
 
Poleni na uchovu wa siku wandugu,

Imetokea mmekutana chuoni mnasoma course moja, mapenzi yamenoga mpaka mnamaliza shule mnakuja kuoana, wote mnafanya field moja let say wote maofisa wa kilimo, maengineer, walimu, wahasibu ect.

Nyumbani mnaweza kutokuongelea field zenu na kuwa na maongezi mengine, kama mkiendelea kuongelea mazungumzo ya kazini nyumbani ni kama mnafanya kazi 24 hrs.
heb maliza hako kadegree kako ka udaktar urud nyumban wach kujitongozesha kwa lecturers
 
Mi tunaongelea pesa tu na wife we Leo umeuza Spry Ngapi? Na yeye ananiuliza we Umeuza jano Gunia Ngapi ,,nipe hesabu kesho nifuste Dark and love na salsa na Prima pia Spry za kampuni la Rasasi zimeisha,,full kujadili pesa ,,harafu j3 naenda Mtukula kupakia mzigo nikifika huko nachepuka na mnyarwanda maisha poa,,ila na sisi shule tumefika mpaka chuo ,,4 yrs
 
Mi tunaongelea pesa tu na wife we Leo umeuza Spry Ngapi? Na yeye ananiuliza we Umeuza jano Gunia Ngapi ,,nipe hesabu kesho nifuste Dark and love na salsa na Prima pia Spry za kampuni la Rasasi zimeisha,,full kujadili pesa ,,harafu j3 naenda Mtukula kupakia mzigo nikifika huko nachepuka na mnyarwanda maisha poa,,ila na sisi shule tumefika mpaka chuo ,,4 yrs


*nifuste ??????
*harafu ?????

[HASHTAG]#Chief[/HASHTAG] Eng
 
Back
Top Bottom