Kiresua
JF-Expert Member
- May 13, 2009
- 1,183
- 261
- Thread starter
- #21
...mkuu "Itumbili" nadha hujasoma maelezo yangu vizuri hapo juu! kuwa; "Import taxes rates "Ya TRA YA MWAKA JANA ILIKUWA HIVI"
"TAX RATES (2012/2013)"
"(C.C, Import Duty, Excise duty, Extra Depreciation Duty, VAT)
C.C"
"NIMETUMIA VAT RATE% YA MWAKA WA SERIKALI 2012/2013, KABLA YA PUNGUZO YA BAJETI YA MWAKA WA SERIKALI 2013/2014 AMBAYO INA ISHIA MWEZI JULY 2014"
"Kumbuka exchange rate
za BOT zinapanda kila siku"
*kwa hesabu za haraka haraka (assumptions) "bei uliyonunulia JP unazidisha mara mbili" mpaka gari inatembea barabara za Dar! Ndiyo kawaida ya budget plan yangu' mara nyingi ujikuta nina baki na salio ya fuel na service.
mkuu nimeipenda hiyo red