Kiresua
JF-Expert Member
- May 13, 2009
- 1,184
- 259
Wanajamii,
Wiki chache zilizopita nilikuja hapa kuomba mwongozo wenu juu ya kupata gari. Nashukuru kwa mwongozo wenu nilipata gari niliyokuwa nimeitaka na iko njiani!
Kwa sasa nahitaji kujua costs involved at the port excluding/including TRA taxes, Nimewasilina na maclearing wawili na wamekuwa na opinion tofauti kuhusu port chages, it shocked me kuona hili hili kwani nilijua cost ziko fixed. Nikahisi nataka kuibiwa ila sikujua nana anaatemt na pia nikahisi wote hawajui au mmoja wao anajua procedures whingine hajui.
Sasa nimekuja hapa kupata mwongozowenu tena wanajamii! gari ni ya mwaka 1998 Carina 1.5l
PLEASE ASSIST
Asanteni tena.
Wiki chache zilizopita nilikuja hapa kuomba mwongozo wenu juu ya kupata gari. Nashukuru kwa mwongozo wenu nilipata gari niliyokuwa nimeitaka na iko njiani!
Kwa sasa nahitaji kujua costs involved at the port excluding/including TRA taxes, Nimewasilina na maclearing wawili na wamekuwa na opinion tofauti kuhusu port chages, it shocked me kuona hili hili kwani nilijua cost ziko fixed. Nikahisi nataka kuibiwa ila sikujua nana anaatemt na pia nikahisi wote hawajui au mmoja wao anajua procedures whingine hajui.
Sasa nimekuja hapa kupata mwongozowenu tena wanajamii! gari ni ya mwaka 1998 Carina 1.5l
PLEASE ASSIST
Asanteni tena.