Captain Tesha ameleta taharuki

Captain Tesha ameleta taharuki

"Tumeanza kuona mwenendo na mtiririko wa viumbe wakiwa wanakuja mitandaoni na kuandaa maudhui ya kuvuruga amani yetu"

"Captain Tesha anajaribu kuleta nywinywi, na nywinywinywi"

"Anataka tufuate katiba, kwa nini tufuate katiba? Katiba ni kitabu tu"

"Eti analalamika kuwa tunaua wakosoaji. Ni mara ngapi niwaambie kuwa "Kifo ni kifo tu, msilete taharuki mitandaoni 😄😄"

Hapo Bi Chura anatafuta maneno ya kumchamba Tesha ila atapata tabu sana yeye na genge lake
Nasemaje, hata kama JWTZ limekataa kuchukua nchi, October 29 kitaeleweka. Tutaandamana mpaka pale Bi Chura atakapojiuzulu. Anaharibu nchi yetu huyu mama na genge lake akina Kikwete, Rostam na Abduli"
Yawezekana hata JWTZ kwenye uongozi kuna machawa wa CCM, ila huu mwaka hamtashinda.

Samia ajiuzulu, Tesha awe Rais 😏
Mimi na sisitiza tukwa wakati huu hata kama chura akigeuka mamba,pia anaweza kuwa kitoweo!
 
Back
Top Bottom