Captain Tesha ameleta taharuki

Captain Tesha ameleta taharuki

wanajeshi watapinduaje nchi wakati hawachukizwi na yanayotokea nchini? Unaambiwa huyo capitaine tesha ni wa mchongo, ni kanjanja si mwanajeshi!
Nchi itapinduliwa hii kiongozi narudia tena.Achana na haya ya captain Tesha lakini kuwa nasubira.Naongea tena nchi hii itapinduliwa na hakuna wa kuzuia(muda na saa hakuna ajuaye).
 
wanajeshi watapinduaje nchi wakati hawachukizwi na yanayotokea nchini? Unaambiwa huyo capitaine tesha ni wa mchongo, ni kanjanja si mwanajeshi!
Nani amethibitisha kuwa Tesha sio mwanajeshi?
 
Wavaa majani bwana hamnaga hoja za msingi zaidi ya kulopokalopoka tu, kwahiyo unataka tusiheshimu katiba tuheshimu makalio yenu?.
 
"Tumeanza kuona mwenendo na mtiririko wa viumbe wakiwa wanakuja mitandaoni na kuandaa maudhui ya kuvuruga amani yetu"

"Captain Tesha anajaribu kuleta nywinywi, na nywinywinywi"

"Anataka tufuate katiba, kwa nini tufuate katiba? Katiba ni kitabu tu"

"Eti analalamika kuwa tunaua wakosoaji. Ni mara ngapi niwaambie kuwa "Kifo ni kifo tu, msilete taharuki mitandaoni 😄😄"

Hapo Bi Chura anatafuta maneno ya kumchamba Tesha ila atapata tabu sana yeye na genge lake
Nasemaje, hata kama JWTZ limekataa kuchukua nchi, October 29 kitaeleweka. Tutaandamana mpaka pale Bi Chura atakapojiuzulu. Anaharibu nchi yetu huyu mama na genge lake akina Kikwete, Rostam na Abduli"
Yawezekana hata JWTZ kwenye uongozi kuna machawa wa CCM, ila huu mwaka hamtashinda.

Samia ajiuzulu, Tesha awe Rais 😏
Samia ataondolewa kama walivyo ondolewa wajomba zake kule zanzibar...mwisho wake utakuwa mbaya sana.
 
Niamini mimi hiki kitu nimekaa nacho muda sema nlishindwa kuweka wazi maana waswahili kuamini mpaka waone.Nchi hii itapinduliwa hata sio lazima mwaka huu ila ni kwamba hili jambo litatokea na liko nje ya uwezo wa binadamu.

Kwanza niseme tu habari ambayo itakuacha na maswali lakini ni hivi Tanzania imechaguliwa na Mungu(ukweli na ushahidi ninao mimi).Hili jambo la mapinduzi ya kijeshi nimeanza kuona ilikuwa nadhani mwishoni mwa 2020 kipindi nipo Kibo(kuna jamaa nlikuwa naenda kwake Bunju kuna siku nikamwambia Magufuri atapinduliwa japo sikujua kama jambo lingechukua muda lakini yeye akaja tu kufa kifo tu cha kawaida)

Huyu mama hata apite uchaguzi ni either atapinduliwa au hatamaliza muda wake(tupo wote mtakuwa mashahidi)
Kifupi sion akimaliza hii miaka mitano, sawa kura wataiba, ila hatoboi
 
"Tumeanza kuona mwenendo na mtiririko wa viumbe wakiwa wanakuja mitandaoni na kuandaa maudhui ya kuvuruga amani yetu"

"Captain Tesha anajaribu kuleta nywinywi, na nywinywinywi"

"Anataka tufuate katiba, kwa nini tufuate katiba? Katiba ni kitabu tu"

"Eti analalamika kuwa tunaua wakosoaji. Ni mara ngapi niwaambie kuwa "Kifo ni kifo tu, msilete taharuki mitandaoni 😄😄"

Hapo Bi Chura anatafuta maneno ya kumchamba Tesha ila atapata tabu sana yeye na genge lake
Nasemaje, hata kama JWTZ limekataa kuchukua nchi, October 29 kitaeleweka. Tutaandamana mpaka pale Bi Chura atakapojiuzulu. Anaharibu nchi yetu huyu mama na genge lake akina Kikwete, Rostam na Abduli"
Yawezekana hata JWTZ kwenye uongozi kuna machawa wa CCM, ila huu mwaka hamtashinda.

Samia ajiuzulu, Tesha awe Rais 😏
Kiongozi naomba nikurekebishe kidogo, hasemi katiba ni kitabu ila ni kijitabu
 
Watu wanaweza endelea kubeza na kumuona kikwete na genge lake kama wajanja sana kama wanavyojiita born town. Ila wakae wakijua kuwa hakuna mjanja asiye na wajanja juu yake. Akumbuke tu hata alipokua rais pale Jw kuna watu still walikua wana uwezo wa kumpinga alipokua akileta sera zake zisizo na msingi. Sasa ajue watu wanamuangalia tu na kuna siku atalia kwa hii tabia ya kuona kama kila mtu anam mudu
 
Yani Samia na watoto wake wote akili kisoda, Yan Wanu anatoa ahadi ya kununua mashine ya kuchimba makaburi kweli!?

Hamna mtu mwenye akili timamu anaweza kuendelea kufagilia kuongozwa na familia ya vichaa kama Ile.
🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Lini Tena hii mkuu?
 
"Tumeanza kuona mwenendo na mtiririko wa viumbe wakiwa wanakuja mitandaoni na kuandaa maudhui ya kuvuruga amani yetu"

"Captain Tesha anajaribu kuleta nywinywi, na nywinywinywi"

"Anataka tufuate katiba, kwa nini tufuate katiba? Katiba ni kitabu tu"

"Eti analalamika kuwa tunaua wakosoaji. Ni mara ngapi niwaambie kuwa "Kifo ni kifo tu, msilete taharuki mitandaoni 😄😄"

Hapo Bi Chura anatafuta maneno ya kumchamba Tesha ila atapata tabu sana yeye na genge lake
Nasemaje, hata kama JWTZ limekataa kuchukua nchi, October 29 kitaeleweka. Tutaandamana mpaka pale Bi Chura atakapojiuzulu. Anaharibu nchi yetu huyu mama na genge lake akina Kikwete, Rostam na Abduli"
Yawezekana hata JWTZ kwenye uongozi kuna machawa wa CCM, ila huu mwaka hamtashinda.

Samia ajiuzulu, Tesha awe Rais 😏
Mafisadi watalia na kusaga meno
 
Back
Top Bottom