Captain Komba anafikiri kwa kutumia nini?

Captain Komba anafikiri kwa kutumia nini?

yunus kb

Senior Member
Joined
Sep 7, 2014
Posts
118
Reaction score
53
Muda mchache ulopita, nimemsikia captain Komba akichangia katika mjadala unaoendelea wa BMK, alichokifanya ni kumshambulia mwenyekiti wa iliyokuwa kamati ya tume ya mabadiliko ya Katiba, mbaya zaidi anai quote hukumu iliyotolewa juzi na mahakama kuu ya DSM, eti mahakama imesema wanachokifanya ni halali.

Binafsi napata taabu kuhusu uelewa na interest za baadhi ya watu wanaotuandikia Katiba pendekezwa.
Karibu tujadili.
 
hilo ndio tatizo la kupeleka bungeni watu wasiojitambua. cku hz tanzania kigezo cha uongoz imekuwa umaarufu. ndio maana komba anaropoka hachangii ki2. pia napata shida sana kwa 7bu hata viongoz wake wameshindwa kumshauri !
 
hilo ndio tatizo la kupeleka bungeni watu wasiojitambua. cku hz tanzania kigezo cha uongoz imekuwa umaarufu. ndio maana komba anaropoka hachangii ki2. pia napata shida sana kwa 7bu hata viongoz wake wameshindwa kumshauri !

Shule hamna pale!! Hapa tutajadili mtu asiye na elimu na mchumia tumbo, huoni mtumbo kama koba la msaada??

Ilitakiwa wanaoenda kuunda katiba iwekwe kikomo cha elimu!

Komba kweli atutungie katiba kweli?? Si heri wangewekwa wazee wa mabaraza ya mahakama wanaijua sheria kwa ku-practice!
 
Mungu hakupi kila kitu! Huyo kapewa tumbo kubwa na akili kiduuuuuchu kama ya kitimoto!
 
tanzania tuna matatizo mengi sana hilo li-komba nalo ni tatizo!!
 
Muda mchache ulopita, nimemsikia captain Komba akichangia katika mjadala unaoendelea wa BMK, alichokifanya ni kumshambulia mwenyekiti wa iliyokuwa kamati ya tume ya mabadiliko ya Katiba, mbaya zaidi anai quote hukumu iliyotolewa juzi na mahakama kuu ya DSM, eti mahakama imesema wanachokifanya ni halali.

Binafsi napata taabu kuhusu uelewa na interest za baadhi ya watu wanaotuandikia Katiba pendekezwa.
Karibu tujadili.

Kumbe unamzungumzia komba mavi huyu mcheza xxx pornographics cerebrity
 
Kuna wakati nilisikia shule zake zimetaifishwa na bank baada ya kushindwa kulipa deni la benk. Lakini tumsamehe tu maana unene wa mwili ukizidi humeza ubongo..
 
Hivi mnazungumzia komba mnyama au ni yupi? Niwekeni sawa tafadhali

Yule yule aliyefukuzwa na kupigwa kwenye kampeni za uraisi Malawi...

Kamtukana Warioba bila Kosa na hachukuliwi hatua zozote zile hivyo hii nchi haina Mwenyewe wacha na yeye atukanwe akishitaki ni kifo cha wengi nashangaa hadi le hajaiigia Msituni....
 
Back
Top Bottom