...Capt. John Komba aliudanganya Umma!

sasa mtu ana miaka karibu ama zaidi ya 50 atumie condom ya nini tena wakati ameshavuka nusu ya uhai wake na hata akipata hiv anaweza kwenda nao mdogo mdogo hadi hata afike 80.
 
Swala sio nani msafi,muungwana aliyejifunga taulo ikianguka huchuchumaa ili wengine wasimuone utupu.lakini yeye badala ya kukaa kimya akaenda clouds kukanusha ndiomaana mleta mada anatoa ushahidi kuonesha nguo zile nizake na bila shaka yoyote ndiye alipigwa picha na totos
 
Mwenye simu ya mama komba naiomba kusudi na mimi nimgebedue hahahahaha:smile-big::smile-big::smile-big:
 
Swadaktaaaa,
Hapa umenipata vilivyo Mkuu wangu Ngoso.
Angekaa kimya bila kukimbilia Clouds FM basi hii thread isingekuwepo, maana tungeamini ndio yeye yakaishia palepale.
 
Last edited by a moderator:
hawa wanawake wa muheshimiwa ukiwapakia kwenye ABOOD BUS lazima wengine wakose seat.

Na ukiwaingiza Uwanja Mkuu wa Taifa (Huu Mpya) still bado wengine watakosa seat vilevile!!
 
Hizi habari za waheshimiwa ni zaidi ya Ze utam, hawanabudi kutambua "wapelelezi" wapo karibu yao kwa mambo yote wanayofanya si mazuri tu kwa jamii hata haya ya kuleta aibu kwa familia zao!
 

Mwili si wake lakini MZIGO kala
 
Dahh hivi mnalipwa kumfuata fuata Komba??? Aheri na wewe uliyeweka hizi picha ungekuwa umeingiza japo buku.....
 
Nimeshangaa kusikia kua huu ndio utetezi wake aliotoa kwenye vyombo vya habari,anasema;

NDUGU WATANZANIA..Naomba nitoe tamko
Naomba mpuuzie picha zinazosambaa zikinionyesha eti nakula tunda na mtoto mdogo wa kike
Huyo sio mimi labda ni pacha wangu ambaye tumepotezana miaka mingi na familia haijui alipo...Mimi ni mtu wa heshma..hivi nilivyo kweli ntawezaje kuchepuka??hivi yule binti anaweza kuhimili hili tumbo??Ndugu Watanzania muwe mnaangaliaga na tuhuma...Huu ni wivu tu wa Wapinzani wangu wa kisiasa wanichafulie kwa sababu uchaguzi umekaribia na naahidi hawatashinda...Mi siwezi kula tunda huku nimevaa shati..huwa nabaki na boxer ya kitenge tu..
Narudia tena huyu sio mimi..hii ni Photoshop tu...Mimi hula tunda kwa pozi sio namna hii..Mimi nna lips very romantic na huyu wa pichani wala sio handsome kama mimi
Wenu katika Ujenzi wa Taifa la Wazee Wasiozeeka
Kapteni asiyeendesha Meli-komba.
 
Hata huo mwili sio wake pia, mwili wake uko mbinguni. Hahahahahhaaaa "komba" Kala ndizi Mbwa wamemshtukia
 
watu mnajua kuunganisha dots aiseee."mwana wa palochi" komba kwisha habari yake.
 
Mzee wa mstuniiii! Mimi namshauri aingie mstuni kumsaka aliyepiga hizo picha. Other wise this is the naked truth!
 
Akane na sura siyo yake mshenzi malaya kabisa huyu!!
 
duu komba anatisha,nadhani hapo zilipo pigwa picha,ndoo ule usemi wake,wakuingia msituni,nakweli yuko msitu simuna mwona?huo ndo ule msitu alisema!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…