Nchi yenyewe Ina watu lakini 6 tuu.TV zenyewe Jana zilikuwa na shobo ya kuwaonesha wale mademu kisa shombe shombeKuliko mataifa mengine yote cape Verde itapokea watalii wengi sana kutoka mataifa mbalimbali duniani ambao wataenda kuyaona Yale maua live.
Japo wengi wanawapongeza wa SA kwa ushindi ila wengi wanasikitika kuwapoteza wale warembo kwenye TV zao kuanzia Jana sasa tutaendelea kumuangalia "Mama Joy"wa SA
Ung'eng'e unapanda au Ureno mwingi tu?Kama yote mkuu kuanzia hotel hadi mitaani fukwe za praia sio poa
Kwa hiyo dunia nzima wanakosea sio?Hilo ndio jina sahihi la nchi husika hiyo cape mnaweka nyie waingereza ila wao ni Cabo
Muingereza kwa miaka ambayo amekaa hapa kabla ya uhuru angekuwa mreno kungekuwa na machotara kibaoWaingereza Wala wasingekuwa na maajabu wale mambo ya mapenzi huwa hawahusudu
Wareno ndio funga wale hata Leo Moja ya sifa Yao ni hiyo
Ngono ,starehe n.k angalia Brazil Mozambique na Angola hata kule Guinea kote ye kaacha watu wake
Mam Joy kama mam Joy 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 hamtaki wezele ?
2027 litafanyikia bongo kwahio mjiandae
Mmeo na mimi tuna mpango wa kuitembelea Cape VerdeYani mpaka nilikuwa sina amani babe akiangalia mechi za Cape Verde, bora wametolewa nina amani sasa.