Cannabis sativa...

How do you feel unapovuta Gambe? Ndugu yangu alikuwa Mkuu sana Polisi na alikuwa anavuta bangi bila watu kujua, Mtu aliyeniambia nilishangaa sana amejuaje sie hatujui, Sikutegemea.
Nikivuta ninakuwa huru, hakuna mawazo yanayonisumbua na ninakuwa na furaha nyingi...kuna kipindi nilipitia frustrations na depression za maisha ila nilivyogundua manufaa ya mmea naweza kusema ndio kuliokoa maisha yangu
 
Bangi si kama watu wengi wanavyo itafsir, na pia haina addiction kama wengi wanavyo dhani.
Ina virutubisho vikuu viwili ambayo ni THC na CBD. Hivi ni virutubisho muhimu kama vile tunavyovitafuta katika matunda. Lakini THC na CBD inaenda kwenye Pineal Gland, ambayo ni sehemu ya ubongo inayojihusisha na Imagination.
So unapovuta itategemea unawaza nini, na nini kimetawala fikra zako na kuenda kuamplfy. Ukiwa happy utakuwa happy zaidi, ukiwa na huzuni utahuzunika zaidi, hii ni kwa kila mahali ambapo fikra yako itaenda.
 
Yeah
 
Mkuu unamfahamu Muddy Waters?, ha ha haa.

Huwa naamini watu wachache sana wanazielewa nyimbo hizo. Hongera

Sent from my SM-N916S using JamiiForums mobile app
Huu ni muziki wa aina yake, muziki unaotukumbusha black jinsi gani tuko blessed. Hawa watu walikuwa wanafanya real music. Itabidi hata tufungue thread special kwa nyimbo hiz aisee. Unamsikiliza na Aretha Franklin?!
 
Mateja wengi walianza na kuvuta bangi co ukianza kuvuta bangi upo kwenye Atari kubwa ya kutumia masembe 75% ya wauza bangi wanauza masembe pia sio rahisi mvuta bangi kukimbia mtego wa sembe wachache Sana walianza kuvuta bangi na kumaliza na bangi ila wengi wanaanza na bangi na kumaliza na sembe be carefully na brother wangu yupo soba Hadi Leo hii
 
Usivute bang kwenye vijiwe wala usivute bang kwa kujionesha, wala usipende kuvuta za kugongea. Utayaepuka haya yote
 
Tetra hydrocannabinol
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…