Canada Canada Canada

Bado miaka 3 ongeza na mingine yakwake ahamie Canada afanye kazi ili awe financially stable kuweza kuwasponsor familia yake ( affidavit of support).
 
Bado miaka 3 ongeza na mingine yakwake ahamie Canada afanye kazi ili awe financially stable kuweza kuwasponsor familia yake ( affidavit of support).
Wazo zuri mkuu na pia ndo wajibu wangu kama mzazi.
 
Hhhh,wazee wa yes wanasema eeh eeh.
Delta ya kule karbu na ubalozi wetu chief..km pale patamu kwel,
4/5 star ile lazima ujione upo pepo ndgo hhh kidding
Hivi kumbe ubalozi wetu upo maeneo hayo? Sikujua bhana!!
 
Hhhh,wazee wa yes wanasema eeh eeh.
Delta ya kule karbu na ubalozi wetu chief..km pale patamu kwel,
4/5 star ile lazima ujione upo pepo ndgo hhh kidding
Mji mzuri sana huu jamani
 
Toronto kuna wahindi wengi sana pale nilikwenda mpaka wafanyakazi wa hotelini wadosi.
Ndukiiiii πŸƒβ€β™‚οΈπŸƒβ€β™‚οΈπŸƒβ€β™‚οΈ
Hao wajinga Wako kibao hapo Toronto maeneo ya Brampton na Scarborough,Pomoja wameishi hapo muda mrefu tabia zao hazibadiliki,wachafu,wabaguzi,ukwepaji kodi
 
Jamani nawashukiru sana wale waliochangia Uzi wangu kwa namna moja au nyingine.
Bigger picture ya haya mazungumzo yamenionesha kitu kifuatacho. Natoa tahadhar hii sio personal attack na nimepata michango positive sana.
Nimegundua wa bongo hatupigani tafu kabisa hasa kwa kuhakikisha mtu kama anamalengo flani na wewe uko katika position ya kumsaidia unakua kama una sita kumsaidia. Sijui sababu ni nini. Either ni ulimbukeni au ni kuogopa akifanikiwa atakupita, mimi sielewi kwa kweli.
Just imagine hii issue mimi ningekua muhindi nikaipeleka kwa wahindi wenzangu yaani nakuambia isingechukua muda nimeshapewa na contact nikifika Canada nimuone au niwaone wenzangu personally.
Ila hapa unachoambulia ni ushauri tu which is well and good. Niko very grateful nimejifunza mambo mengi sana ktk kufanikisha mission yangu.
Ila sasa watu wanajificha ficha. Eti nikipewa full info mtu ataonekana anani smuggle. Unamsmuggle mtu mzima na akili na maarifa na elimu yake. Come on!!!
Nimegundua wapo waliokuwa huko kwa nini tusiwaige wahindi?!!! Si kwa uchafu wao Bali ni ule umoja. Tutaendlea kufanikiwa mmoja mmoja kwa roho hii.
Once again mliochangia nawashkuru sana. Ntakaa chini nipime nini kifanyine InshaAllah ntaleta feedback.
 
Kaka umesema ukweli kabisa kama hujasoma vyuo vya Canada kupata permanent job ni ngumu sana,pia kuna kitu kinaitwa Canadian experience,hiyo nchi sana ila watu wameshakariri huwaambii kitu,USA,Australia and UK ni bora zaidi
 
Kaka umesema ukweli kabisa kama hujasoma vyuo vya Canada kupata permanent job ni ngumu sana,pia kuna kitu kinaitwa Canadian experience,hiyo nchi sana ila watu wameshakariri huwaambii kitu,USA,Australia and UK ni bora zaidi
Shukran....
 
Una pesa ? Kuweza kumanage gharama za matibabu nchini Canada

Pia Canada na Us hawatoi visa kwa watu wajawazito tena ?

Labda uende Europe napo sio guarantee kwa mtot wako kuwa RAIA Wa EU-nations

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Lengo lako ni utaifa wa mtoto wenu wenu uwe ni Mtanada!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nasikia sometimes wadosi wanajisahau na kuleta ubaguzi kama wapo mumbai vile!
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…