Unge andika hapa kwa faida ya Weng. Mimi vyote hivyo nnavyoOMG!! Yaani kutaka passpoti tu ?? Kwani hii ya TZ umenyimwa? Wee ngoja Madam ajifungue kwa Salaama baadae msajili cheti na ukajiandikishe Rita;Nida na uhamiaji ....ukishapata vitambulisho husika... Ntakupa Njia ya kuwasili huko Majuu!!
Nafasi yako bado ipo ...usiwe na haraka!!
Kama mtu ni Mechanical Technician inakiaje...?FYI.. huko kote nimeshakanyaga kwa kidole Cha gumba!! Niamini Kama hujasoma kwao na kuwa na vyeti vyao hususan..utaishia kazi ngumu zisizo pungua MaSAA 16 ili uweze kumudu maisha!!
Na Saa 4 zitakuwa ktk usafiri wa kwenda na kurudi kazini ..utabakiwa na Saa 4 tu!! Uweze kulsla na kujipikia na kujitunza NK nk!!
2nd Option :- Kama una uzoefu na ujuzi wa kazi za mkono (skill work) basi utapunguza Saa 5 ktk mfumo huo hapo juu !!
Good luck....
Njia zipo nyingi !!
Kama mtu ni Mechanical Technician inakuaje...?FYI.. huko kote nimeshakanyaga kwa kidole Cha gumba!! Niamini Kama hujasoma kwao na kuwa na vyeti vyao hususan..utaishia kazi ngumu zisizo pungua MaSAA 16 ili uweze kumudu maisha!!
Na Saa 4 zitakuwa ktk usafiri wa kwenda na kurudi kazini ..utabakiwa na Saa 4 tu!! Uweze kulsla na kujipikia na kujitunza NK nk!!
2nd Option :- Kama una uzoefu na ujuzi wa kazi za mkono (skill work) basi utapunguza Saa 5 ktk mfumo huo hapo juu !!
Good luck....
Njia zipo nyingi !!
Kama usemavyo!! Itakubidi ujinoe na kupolish vyeti vyako kwa kupitia institute zao kdogo ..walao update ridhaa zao..ila kazi na fursa no nyingi Sana!! Hukosi kitu..na kipato kitaendana kujituma kwako!!Kama mtu ni Mechanical Technician inakuaje...?
Mkuu kwa faida ya wengi toa hizo njia kakaOMG!! Yaani kutaka passpoti tu ?? Kwani hii ya TZ umenyimwa? Wee ngoja Madam ajifungue kwa Salaama baadae msajili cheti na ukajiandikishe Rita;Nida na uhamiaji ....ukishapata vitambulisho husika... Ntakupa Njia ya kuwasili huko Majuu!!
Nafasi yako bado ipo ...usiwe na haraka!!
Hahahaha mbona unataka kupasuka mkuu nasema hivi huyo bibie na tumbo lake haendi popote tunaelewana !!
Njia rahisi ni kujiwasha! Jifanye choko utawin! Unaanzisha case ukiimaliza unapewa uraia
Mida ya dinner inakarbia, live in ottawa hapa mkuu,anyway sjui mkuu una nia ya ku gamble na nini hii plan yako.Umofia kwenu.
Wazoefu tupeane uzoefu.
Nataka nitimbe na wife Canada na wife akajifungulie mtoto huko tupate passport ya mtoto Canada.
Wanaoishi Canada au wenye uzoefu na njia hii nipeni mawazo au uzoefu wenu.
Changamoto ziko wapi before and after.
Nawasilisha
Juzi tu 1 July Wamesherehekea uzaao wao!! Long live and God bless misaada yao isiyokatika kwa ...Nchi poa sana hii.View attachment 1145132
Ottawa = Orrawa (wanatamka wenyewe) hahaha...nililala Delta Hotel hapo OrrawaMida ya dinner inakarbia, live in ottawa hapa mkuu,anyway sjui mkuu una nia ya ku gamble na nini hii plan yako.
Au unatka uchze na ABA ule mpunga wa child benefit nn mkuu
Mkuuu si kweli kwamba mke lazima awe raia ndo mtoto apewe passport.Hawezi pewa uraia wa Canada, labda mkeo awe ni wa huko
Njia rahisi ni kujiwasha! Jifanye choko utawin! Unaanzisha case ukiimaliza unapewa uraia
Mkuu asante kwa ushuhuda.Mkuuu si kweli kwamba mke lazima awe raia ndo mtoto apewe passport.
Kwa uzoefu wangu, mtoto wa kwanza (mvulana) amezaliwa Tanzania na wa pili (msichana) amezaliwa Canada na ni raia.
Kwa sheria za Canada hata kama wazazi wote si raia mtoto anayezakiwa ni raia kama ilivyokuwa kwa case yangu.
Mimi nilienda kwa njia ya kusoma hivyo baada ya mimi kutangulia kwa miezi sita niliwafanyia mpango mke na mtoto kutoka Tanzania waje kunisalimia na walipofika kule tuliongeza muda wa visa na hadi tulipohakikisha tunapata mtoto kule.
Jambo la msingi ni wewe kuingia Canada kihalali na kuishi kihalali na kuna njia nyingi ila mjia nzuri ni kusoma kwani tourist visa itakuwa chini ya miezi sita na utahitaji kuthibitisha una fedha za kutosha muda wote ukiwa kule.
Pia kama hujaoa au kuolewa mwanya mkubwa ni kumpata partner mcanada hii hasa kama wewe mwenyewe unataka ukazi wa kudumu na hatimaye uraia. Unatafuta partner wa kicanada unaoa au kuolew naye hata kama ni fake marriage ila ukifika kule unapewa permanent residence (ukazi wa kudumu) na baada ya hapo unaweza kutoa talaka na kuendelea kivyako hadi kupata citizenship uraia. Wenzetu west afrika ndo zao.
Kuhusu kwenda Canada issue kubwa ni kupata visa hapo ndo wapo makini sana na lazima ujipange hasa ndo maana kwenda shule ndo njia rahic.
Mimi nilisharudi na mwanangu naishi naye Tz na ana passport na kama sheria hazitabadilika akifikisha miaka 18 anaruhusiwa kuwapa wazazi uraia na kwa sasa amebakisha miaka 3 nami anipe uraia then tuhamie wote as family huko.
Pia huwa najitahidi kila mwaka kwenda kutembea ni nchi nzuri isiyo na ubaguzi.
Wengine wenye uzoefu wataongeza na kushauri vizuri.
NB: life ya kule lazima ujipange lazima ujue kufanya kazi, kuna kitu kinaitwa bills ndo utakifahamu vizuri na huku Afrika kuna kitu kinaitwa fursa ndo zimejaa.
Mida ya dinner inakarbia, live in ottawa hapa mkuu,anyway sjui mkuu una nia ya ku gamble na nini hii plan yako.
Au unatka uchze na ABA ule mpunga wa child benefit nn mkuu
Mkuu, kujua mji upi mzuri kwako inatokana na vile unapenda, kuna majimbo ukienda utafurahia kutokana na lugha yaani kifaransa au kingeteza, ukienda jimbo la Quebec na kifaransa hujui utapata shida kidogo kuliko ukiwa jimbo la Ontario.Mkuu asante kwa ushuhuda.
Mimi kama nilivyoleta mada naenda nikiwa na account yenye pesa ya kujikimu vizuri tu.
Hivi kule nipe address ya miji kadhaa ambapo naweza ishi kwa miezi mi 2 rent iwe sio kubwa kivile ya kitalii. Halaf nafikiria labda Ku rent two bed room apartment hivi. Wewe unashauri vipi mkuu. Au kuna AirBNB za bei rahisi. Mimi hata ikiwa nje kidogo na maji sio mbaya. Kuwe tu na huduma za kijamii.
Dah hili ndio jibu la swali ?Toronto kuna wahindi wengi sana pale nilikwenda mpaka wafanyakazi wa hotelini wadosi.
Ndukiiiii
Nenda SiDo katengeneze majiko mkuu.Kama mtu ni Mechanical Technician inakuaje...?