Can You Imagine?

Can You Imagine?

Amavubi weka wakati bado anasota na ule wimbo wake wa wanawake na maendeleo...........

kanga+nzuri.JPG
 
Sikatai, lkn kila mwanadamu kaumbika ati maana hakuna mwanadamu asiye na umbo!
 
hahahaa! Jaman jf!! Mvua ya kutengeneza! Nimecheka kwa sauti bila kujitambua lol!

Pole angalia usipaliwe hapo ulipo ila kama umemjua siri yako usimwambie mtu maana ni siri....
 
Amma kweli dunia inaelekea kuzimu.

Mtoto wa kike anajianika ili aonekane na kusifiwa! uzuri wa sura? uzuri wa miguu? uzuri wa nywele za kubandika? uzuri wa rangi za photoshop? haya sasa wekeni na hiyo harufu? haya tieni perfume hizo picha!

Vijana wanawake mnajidhalilisha, hawa wanaume mnajiweka wazi kwao hawana kheri na kujiachia kwenu, furaha ya macho si raha za mioyo yao. Hebu mwambieni mmoja wao hapa aweke picha ya mkewe au dada'ke au mama'ke kajiachia! kama kweli wanaona raha kuona mwanamke kajiachia, nasema Mawee!

Labda liwe punga!

Faiza huyo anatafuta :baby:
 
Amavubu ndio maana amepewa ulaji na papa mukulu,muoaji anajishikiza tu wenye visu wanaita tu muda wowote looh!
 
Last edited by a moderator:
Hajamfikia yule mwingine wanaesema chakula cha mzee wa mvua ya kutengeneza yule namkubali....


Tupiamo kapicha basi Mkuu ili tusafishe tongo tongo na kula kwa macho!!!
 
Back
Top Bottom