he unataka na number yake ya cm tena leo leo tu.Harafu mimi wanyamwezi huwa nawapendaga kweli. Ebu jaribu kuni PM ka namba kako ka cm!
We inaonekana unatafuta mtu wa kukudo sababu hao watatu wamekuumizia maisha yako kivipi? Nakushauri uwe makini utatoka hapa umeyapoteza hata hayo maisha.Not lyk that dia. Hao wameniumizia maisha yng
Wewe umekwishakuwa screened out jina lako ni la kimakonde typical.Harafu mimi wanyamwezi huwa nawapendaga kweli. Ebu jaribu kuni PM ka namba kako ka cm!
Hi guyz, an a gal aged25 nyamwez frm Tabora Tanzania. Am searchng for a friend frm any place bt aged frm28-60. Any tribe bt not makonde, mwera, yao. U are warmly welcome.
Hivi ndio unavyokarimu wageni nyumbani kwako?
hivi wewe hujui kureply?
Hi guyz, an a gal aged25 nyamwez frm Tabora Tanzania. Am searchng for a friend frm any place bt aged frm28-60. Any tribe bt not makonde, mwera, yao. U are warmly welcome.
we ni mbaguzi sana..:heh:
hivi wewe hujui kureply?
Nimecheka mpaka watu wananishangaa
"To know the enemy is half the victory"
kwani kasema anatafu mtu wa kungonoka naye?