Can Men and Women Be Friends?

Rostam Aziz/Reginald Mengi na Mpiga Filimbi wa Amelin

Ni bahati mbaya sana Rostam Aziz hana ubavu wa kumshinda Mzee Reginald Mengi katika uwezo wa kuwateka wananchi kiakili! Uwezo huo anao Reginald Mengi ambapo umwangiliapo tu wakati anapoongea, sura yake inatoa ujumbe wa mtu safi, mpole, mkarimu na ambae watu hupenda kumuonea kutokana na upole wake! Hata hivyo, kwa upande wa Rostam Aziz hutachelewa kuiona jeuri ya pesa na majivuno wakati wa maongezi yake! Labda kinachoonekana kutoka kwa wote, hususani kwa yule asiyetaka kuumiza kichwa, ni uchungu walionao watu hawa kwa ndugu zao watanzania!

Kwangu mimi, si Rostam wala Mengi ambae tuhuma zake zimetokana na uchungu alionao kwa nchi hii! Hawa wote hawana tofauti yoyote na Mpiga Filimbi wa Amelini aliyekusudia kuwatokomeza panya na ambapo mwisho wa mchezo na watoto wa vijiji vile nao wakapotelea kusikojulikana walipokuwa wanamfuata mpiga filimbi wa Amelini!

Kama nilivyosema awali, Rostam keshazidiwa kete na Mzee Mengi tangu zamani hizo! Wakati Rostam alijikita zaidi kuwashika viongozi na watendaji mbalimbali wa serikali, Mzee Mengi alijikita zaidi katika kuziteka hisia za watu, hususani wanyonge! Mengi alishafanikiwa tangu zama hizo kujionesha kuwa yeye ni mtu safi, mpole, mnyonge, muonewa wivu, na kubwa zaidi ni mpenda maskini na watanzania kwa ujumla!

Hata hivyo, nasikitika kwamba si Rostam Aziz wala Reginald Mengi aliyefanikiwa kunipata kwenye tundu lake.

Hata hivyo, kwavile naamini kati yao ni Reginald Mengi ndie aliyefanikiwa kubeba ipasavyo mikoba wa Mpiga Filimbi wa Amelini, basi nahisi kusononeka kutokuwamo kwenye msafara wake! Sina shaka yoyote kwamba mpiga filimbi huyu alipopita mtaani kwetu, mimi nilijumuika na watoto wenzangu kumfuata nyumanyuma huku tukifaidi utamu wa muziki kutoka kwenye filimbi yake! Sifahamu ni nini kilinitokea, lakini kabla hajakata kona kiasi cha kutoweka kwenye upeo wa macho kutoka nyumbani kwetu, nilishituka na kurudi mbio nyumbani huku nikihema!Pamoja na yote hayo, hivi sasa nahisi kama najutia maamuzi yangu ya kumuacha Mpiga Filimbi wa Amelini aende zake! Rafiki zangu wote ambao nilikuwa nao awali kwenye msafara wa mpiga filimbi; bado hawajarejea! Siamini kama wamepotea, bali nahisi wanaendelea kufaidi muziki wa filimbi, na ndio maana hawataki kurejea nyumbani! Kwani si wapo wanaoamini kwamba hata wafu nao kuna kitu wanafaidi huko kuzimu na ndio maana hawataki kurejea duniani!? Sio siri, naowaonea wivu watoto wenzangu, nahisi wanafaidi muziki wa mpiga filimbi!
Good! Nimeikumbuka sababu iliyonifanya nimshiti Mpiga Filimbi wa Amelini aende zake na mimi kurejea nyumbani, haijalishi hata kama hivi sasa najilaumu! Pamoja na ala tamu za filimbi, lakini mashairi yalikuwa ni yaleyale ya akina Marijan Rajabu, TX Moshi William, Muhidini Ngurumo na wengineo wengi kama hao! Ni mashairi ambayo nahisi yalishayachosha masikio yangu! Lakini kwavile natamani kwenda kuungana na watoto wenzangu ili tuserebuke wote na ala za filimbi yake, basi namshauri angalau aweke chorus (kibwagizo) ya muziki wa kizazi kipya!

Ngoja kwanza nijaribu kutengeneza theory kama ita-fullfil:
First Law:
“To every grand corruption action there must be two dependent bonds responsible for completing the corruption circuit, these are business people and decision makers bonds!”

Second Law: “For any corruption circuit to be disconnected and allow no more electrons to pass through,there must be a committed techinician who’s able to expose both bonds from a connected terminal”

Mzee Mengi bado hajanishawishi kwamba yeye ni committed technician kwavile haja-expose both bonds! Mbaya zaidi ni kwamba napata mashaka zaidi na commitment yake kwavile bonds alizozi-expose ni zile tu zinazowafanya watu wahisi kuwepo kwa conflicting objectives! Kama tunakubaliana angalau kwa 50% na theory zangu basi wale ambao Mzee Mengi hajawataja ni Decision Makers, ambao wengi wao kama sio wote ni wanasiasa na watendaji wakuu wa serikali au taasisi za umma!

Binafsi, hawa watu kwangu ndio muhimu zaidi kuliko hao akina Jeetul Patel! Si kwamba wakina Rostam si watu muhimu katika hili, ninachosema ni kwamba watu ambao hawajatajwa ni wale waliowekwa sehemu walizopo ili kulinda maslahi ya watanzania! Jeetul Patel na wenzake hawafanyi biashara kwa maslahi ya watanzania, bali wanafanya kwa maslahi yao binafsi na ndio maana hawaoni aibu kuwahujumu watanzania walio wengi. Endapo ningepewa nafasi ya kuulizwa ni bond ipi itajwe na ipi isitajwe, basi sina shaka ningeitaka bond ya decision makers ndio itajwe. Hii ni kwavile muda si mrefu bond hii itajinadi mbele yetu kwamba wao ni watu safi hivyo wangependa kutuongoza na kuendelea kulinda maslahi yetu kumbe ndio wala rushwa wakubwa!

Mzee Reginald Mengi alikaririwa kwamba kuna mafisadi kama kumi hivi nchini, miongoni mwao watano ni mafisadi papa ambao wote ni wafanyabiashara! Sasa kama nia yake si kuwamaliza washindani wenzake wa kibiashara ni kwanini asiwataje hao mafisadi wengine ambao bila shaka ni wanasiasa hata kama ni mafisadi sangara au vibua?! Kama kweli aliwataja mafisadi papa kwa ajili ya uchungu alionao nao kwa watanzania basi hana budi kuwataja na mafisadi sangara kwavile ndio hasa tuliowaweka ili wayalinde maslahi ya watanzania wote! Asipowataja, basi nitahisi wale aliowataja amesukumwa zaidi na:
1. Maslahi Binafsi ya Kibiashara,
2. Inawezekana kweli Mzee Mengi ana ndoto za kugombea urais wa nchi hii hivyo asingependa kujiundia maadui wa kisiasa ambao bila shaka wengi wao kama sio wote watakuwa ndio wajumbe wa NEC
3. Kama kweli Mzee Mengi anakwepa kodi basi anaogopa kuwaumbua wanasiasa ambao ndio wadau wakuu katika kuwezesha ukwepaji kodi wa wafanyabiashara wakubwa. Maana yangu ni kwamba anawaogopa kwavile anajuwa ameshawahi kuwatumia katika kukwepa kodi!

Kama nilivyoeleza hapo awali, natamani kumfuata mpiga filimbi huyu wa Amelini, lakini aweke kibwagizo cha Bongo Flavor kwa kuwataja na mafisadi sangara!
 
Rostam Aziz/Reginald Mengi na Mpiga Filimbi wa Amelin

...haka wengi wao kama sio wote watakuwa ndio wajumbe wa NEC
3. Kama kweli Mzee Mengi anakwepa kodi basi anaogopa kuwaumbua wanasiasa ambao ndio wadau wakuu katika kuwezesha ukwepaji kodi wa wafanyabiashara wakubwa. Maana yangu ni kwamba anawaogopa kwavile anajuwa ameshawahi kuwatumia katika kukwepa kodi!


Kama nilivyoeleza hapo awali, natamani kumfuata mpiga filimbi huyu wa Amelini, lakini aweke kibwagizo cha Bongo Flavor kwa kuwataja na mafisadi sangara!

...duh, mzee huku siko!...:D
 
Men and women can NEVER be friends, trust me. Kama mbuzi na majani vile, shauri yenu......
 
Inawezekana kabisa bila shida kurafikiana na mwanamke/mwanaume,mipaka ya urafiki ikiwa wazi hakuna tatizo.Tatizo linakuja pale mipaka ya urafiki wenu inapokuwa haipo. Lazima mashaka yaje.
 
Can men and women be "just friends," or is sexual attraction between the sexes always inevitable? According to Rabbi Shmuley, men and women can be friends with members of the opposite sex, as long as they follow certain rules. He talks about platonic friendship between the sexes and shares his ground rules for opposite-sex friendships outside of marriage.

If a person isn't married, Rabbi Shmuley says it's perfectly all right to have friends who are members of the opposite sex. Society has moved away from polarizing the sexes, and today, men and women work together, go to school together and should be able to be friends, he says.

Things are different if you are married, Rabbi Shmuley says. It is possible to have an opposite sex friendship, but you cannot compromise certain borders:

1) You can't go out to late night dinners together. You can have lunch together in a public place, but you should not order alcoholic beverages. "The embers of attraction really can grow in situations like that, and suddenly it's not so innocent, it's not just friendship anymore," Rabbi Shmuley says.

2) You can't take long drives or long flights with the other person, even if it's for work. "Even if you have to work with a colleague [of the opposite sex], there are still certain boundaries you need to preserve," he says.

3) You cannot place yourself in any situation where romance can grow. "Romance grows when people are alone; romance grows when people tell secrets," Rabbi Shmuley says.

4) You can't share secrets with a platonic male or female friend that you don't share with your spouse. "Because then you're sharing an exclusivity with a member of the opposite sex that you're not with your partner, and that can lead to a big no-no," he says.

5) You should not be friends with ex-lovers.

Nawakilisha.

Mhh..Mhhhh..No comment on the above...

Mambo haya yamenicost mno katika maisha...Naogopa.!!!! Naamini

hakuna anayeweza kusema ukweli exactly!!-too personal and too

conditional..!!
 
Rostam Aziz/Reginald Mengi na Mpiga Filimbi wa Amelin

Ni bahati mbaya sana Rostam Aziz hana ubavu wa kumshinda Mzee Reginald Mengi katika uwezo wa kuwateka wananchi kiakili! Uwezo huo anao Reginald Mengi ambapo umwangiliapo tu wakati anapoongea, sura yake inatoa ujumbe wa mtu safi, mpole, mkarimu na ambae watu hupenda kumuonea kutokana na upole wake! Hata hivyo, kwa upande wa Rostam Aziz hutachelewa kuiona jeuri ya pesa na majivuno wakati wa maongezi yake! Labda kinachoonekana kutoka kwa wote, hususani kwa yule asiyetaka kuumiza kichwa, ni uchungu walionao watu hawa kwa ndugu zao watanzania!

Kwangu mimi, si Rostam wala Mengi ambae tuhuma zake zimetokana na uchungu alionao kwa nchi hii! Hawa wote hawana tofauti yoyote na Mpiga Filimbi wa Amelini aliyekusudia kuwatokomeza panya na ambapo mwisho wa mchezo na watoto wa vijiji vile nao wakapotelea kusikojulikana walipokuwa wanamfuata mpiga filimbi wa Amelini!

Kama nilivyosema awali, Rostam keshazidiwa kete na Mzee Mengi tangu zamani hizo! Wakati Rostam alijikita zaidi kuwashika viongozi na watendaji mbalimbali wa serikali, Mzee Mengi alijikita zaidi katika kuziteka hisia za watu, hususani wanyonge! Mengi alishafanikiwa tangu zama hizo kujionesha kuwa yeye ni mtu safi, mpole, mnyonge, muonewa wivu, na kubwa zaidi ni mpenda maskini na watanzania kwa ujumla!

Hata hivyo, nasikitika kwamba si Rostam Aziz wala Reginald Mengi aliyefanikiwa kunipata kwenye tundu lake.

Hata hivyo, kwavile naamini kati yao ni Reginald Mengi ndie aliyefanikiwa kubeba ipasavyo mikoba wa Mpiga Filimbi wa Amelini, basi nahisi kusononeka kutokuwamo kwenye msafara wake! Sina shaka yoyote kwamba mpiga filimbi huyu alipopita mtaani kwetu, mimi nilijumuika na watoto wenzangu kumfuata nyumanyuma huku tukifaidi utamu wa muziki kutoka kwenye filimbi yake! Sifahamu ni nini kilinitokea, lakini kabla hajakata kona kiasi cha kutoweka kwenye upeo wa macho kutoka nyumbani kwetu, nilishituka na kurudi mbio nyumbani huku nikihema!Pamoja na yote hayo, hivi sasa nahisi kama najutia maamuzi yangu ya kumuacha Mpiga Filimbi wa Amelini aende zake! Rafiki zangu wote ambao nilikuwa nao awali kwenye msafara wa mpiga filimbi; bado hawajarejea! Siamini kama wamepotea, bali nahisi wanaendelea kufaidi muziki wa filimbi, na ndio maana hawataki kurejea nyumbani! Kwani si wapo wanaoamini kwamba hata wafu nao kuna kitu wanafaidi huko kuzimu na ndio maana hawataki kurejea duniani!? Sio siri, naowaonea wivu watoto wenzangu, nahisi wanafaidi muziki wa mpiga filimbi!
Good! Nimeikumbuka sababu iliyonifanya nimshiti Mpiga Filimbi wa Amelini aende zake na mimi kurejea nyumbani, haijalishi hata kama hivi sasa najilaumu! Pamoja na ala tamu za filimbi, lakini mashairi yalikuwa ni yaleyale ya akina Marijan Rajabu, TX Moshi William, Muhidini Ngurumo na wengineo wengi kama hao! Ni mashairi ambayo nahisi yalishayachosha masikio yangu! Lakini kwavile natamani kwenda kuungana na watoto wenzangu ili tuserebuke wote na ala za filimbi yake, basi namshauri angalau aweke chorus (kibwagizo) ya muziki wa kizazi kipya!

Ngoja kwanza nijaribu kutengeneza theory kama ita-fullfil:
First Law:
“To every grand corruption action there must be two dependent bonds responsible for completing the corruption circuit, these are business people and decision makers bonds!”

Second Law: “For any corruption circuit to be disconnected and allow no more electrons to pass through,there must be a committed techinician who’s able to expose both bonds from a connected terminal”

Mzee Mengi bado hajanishawishi kwamba yeye ni committed technician kwavile haja-expose both bonds! Mbaya zaidi ni kwamba napata mashaka zaidi na commitment yake kwavile bonds alizozi-expose ni zile tu zinazowafanya watu wahisi kuwepo kwa conflicting objectives! Kama tunakubaliana angalau kwa 50% na theory zangu basi wale ambao Mzee Mengi hajawataja ni Decision Makers, ambao wengi wao kama sio wote ni wanasiasa na watendaji wakuu wa serikali au taasisi za umma!

Binafsi, hawa watu kwangu ndio muhimu zaidi kuliko hao akina Jeetul Patel! Si kwamba wakina Rostam si watu muhimu katika hili, ninachosema ni kwamba watu ambao hawajatajwa ni wale waliowekwa sehemu walizopo ili kulinda maslahi ya watanzania! Jeetul Patel na wenzake hawafanyi biashara kwa maslahi ya watanzania, bali wanafanya kwa maslahi yao binafsi na ndio maana hawaoni aibu kuwahujumu watanzania walio wengi. Endapo ningepewa nafasi ya kuulizwa ni bond ipi itajwe na ipi isitajwe, basi sina shaka ningeitaka bond ya decision makers ndio itajwe. Hii ni kwavile muda si mrefu bond hii itajinadi mbele yetu kwamba wao ni watu safi hivyo wangependa kutuongoza na kuendelea kulinda maslahi yetu kumbe ndio wala rushwa wakubwa!

Mzee Reginald Mengi alikaririwa kwamba kuna mafisadi kama kumi hivi nchini, miongoni mwao watano ni mafisadi papa ambao wote ni wafanyabiashara! Sasa kama nia yake si kuwamaliza washindani wenzake wa kibiashara ni kwanini asiwataje hao mafisadi wengine ambao bila shaka ni wanasiasa hata kama ni mafisadi sangara au vibua?! Kama kweli aliwataja mafisadi papa kwa ajili ya uchungu alionao nao kwa watanzania basi hana budi kuwataja na mafisadi sangara kwavile ndio hasa tuliowaweka ili wayalinde maslahi ya watanzania wote! Asipowataja, basi nitahisi wale aliowataja amesukumwa zaidi na:
1. Maslahi Binafsi ya Kibiashara,
2. Inawezekana kweli Mzee Mengi ana ndoto za kugombea urais wa nchi hii hivyo asingependa kujiundia maadui wa kisiasa ambao bila shaka wengi wao kama sio wote watakuwa ndio wajumbe wa NEC
3. Kama kweli Mzee Mengi anakwepa kodi basi anaogopa kuwaumbua wanasiasa ambao ndio wadau wakuu katika kuwezesha ukwepaji kodi wa wafanyabiashara wakubwa. Maana yangu ni kwamba anawaogopa kwavile anajuwa ameshawahi kuwatumia katika kukwepa kodi!

Kama nilivyoeleza hapo awali, natamani kumfuata mpiga filimbi huyu wa Amelini, lakini aweke kibwagizo cha Bongo Flavor kwa kuwataja na mafisadi sangara!
Jamani ni mimi nimepotea mtaa au NasDaz ndo kapotea?
Lakini nimeona NasDaz bado ana kamba mguuni.

Join Date: Wed May 2009
Posts: 1
Thanks: 0
Thanked 0 Times in 0 Posts

NasDaz, Karibu, lakini ulikoingilia sio mtaa sahihi.
 
duh!!! mwnamume hakose kuomba omba!!!!!!
Mwanamke hakosi kutoa sauti ya mahaba siku moja moja katika maongezi ya kawaida ya kaka na dada au hata kurembua kidogo. Akili inayaambia masikio "unasikia sauti hiyo?", inayaambia macho "umeona macho yanavyokurembulia?". Hapo ndipo mwanamume rijali anaposhindwa. Unaishia "Liwalo na liwe".
 
Kutokana na maisha nayoishi nakutana na aina mbalimbali za watu,imekua kama urafiki unajengwa kwa dhumuni maalum! na inapotokea hata hilo dhumuni lisipokamilika ujenzi wa urafiki wafa,hii si kwa jinsia tofauti hata jinsia moja naona hili tatizo lipo,naombeni mawazo yenu jinsi gani naweza pata rafiki ambaye yuko neutral kwenye mahusiano yetu,au haiwezekani?

Thanx
 
Urafiki hujengeka kwa sababu watu mnakutana na kujikuta damu zenu zinapata.
Ikiwa mmevutika kuwa marafiki kwa sababu mmoja anataka kufaidika, basi mjue hilo lengo lisipotimia urafiki utafifia na hatimaye kufa.
 
WOS
Hapo kunakitu umekiongea kinaleta sense,huko damu kupatana kunatokea vp? usichoke na maswali dada yangu?
Thanx
 
" damu kupatana " wazungu huita " chemistry" yaani mvuto unaotokea naturally ukakufanya upende kuwa karibu zaidi na huyo mtu - labda maongezi yenu, hobbies, mnaelewana tabia zenu n.k.
WOS
Hapo kunakitu umekiongea kinaleta sense,huko damu kupatana kunatokea vp? usichoke na maswali dada yangu?
Thanx
 
Yeah hii ndo nipe nikupe upate kitu kitamu.....juzi nimetishiwa kuachwa na nyumba ndogo nimeinyima hela! nikamwambia sasa inabidi tubadili system uwe unaniudhia tu ili kuondoa lawama napo kuhitaji nitodhe gharama zako unanipa huduma kisha tunamalizana.
 
mimi hadi hapa nilipo naona bado sijakutana nayo, sababu kila nayekutana naye anakua ana imani urafiki unajengwa na kitu zamani nilidhani urafiki unajengwa na kufanana tabia,duuhh nikakuta pia wale ambao tunafanana kitabia pia kuna kitu kitu kiko mbele,mfano marafiki wengi ni wale ambao wanafanana hali za za kimaisha,kwa hiyo mtu anaangalia kwenye afadhali, na hii ndo imeingia mpaka kwa wa ndugu sasa hivi,mtu aliye nacho anathaminiwa,au mtu ambaye huna msaada unakua hauna ishu,kuna kitu hapo nyuma nilijifunza kukubali tabia zao lakini pia ikashindikana,na nitafurahi kama pia mkinielekeza njia nzuri ya kumfanya mtu awe rafiki yako hata kama damu haziendani,WOS kama huyu chemistry wangu yuko kigoma kukutana si ndo itakua ishu?
 
Yeah hii ndo nipe nikupe upate kitu kitamu.....juzi nimetishiwa kuachwa na nyumba ndogo nimeinyima hela! nikamwambia sasa inabidi tubadili system uwe unaniudhia tu ili kuondoa lawama napo kuhitaji nitodhe gharama zako unanipa huduma kisha tunamalizana.

Kaka hii staili yako nzuri lakini vp kama ukakosa pesa ya kumpa? utatafuta mbuni au?
 
A friend in NEED is a friend INDEED (put it this way : a friend INDEED is a friend in NEED)
 
Kutokana na maisha nayoishi nakutana na aina mbalimbali za watu,imekua kama urafiki unajengwa kwa dhumuni maalum! na inapotokea hata hilo dhumuni lisipokamilika ujenzi wa urafiki wafa,hii si kwa jinsia tofauti hata jinsia moja naona hili tatizo lipo,naombeni mawazo yenu jinsi gani naweza pata rafiki ambaye yuko neutral kwenye mahusiano yetu,au haiwezekani?

Thanx
Kuna kitu kingine sijakigusia... sasa hivi tunaishi zama za kupenda vitu na siyo mtu.Ukiwa una kitu ni rahisi kujivunia marafiki wengi.Ukiwa huna kitu utashangaa marafiki wanavyopungua kwa spidi.Angalia watu ambao walikuwa na vyeo au mali na sasa hawana tena.Jana nimepita mahali kulikuwa na msiba... utitiri wa magari yaliyokuwepo ulinishangaza na ni kwa sababu huyo aliyefiwa ni tajiri mwenye jina kubwa.Nikajiuliza angekuwa hana kitu watu wote wale wangeacha kufurahia Jumapili yao waende pale washinde siku nzima?
 
Kaka hii staili yako nzuri lakini vp kama ukakosa pesa ya kumpa? utatafuta mbuni au?


Mkuu nikiwa sina si nakausha tu siendi na baki tuliiiiii hakuna bugudha hapo mkuu ni njia safi sana kwa wale wanao tanguliza mkwanja mbele.
 
kama huwezi kumsaidia kwa wakati huo urafiki unakufa? huo sio urafiki! inaweza kutokea mtu ukawa na rafiki wa karibu sana kuliko hata ndugu yako, mpo pamoja kwenye shida na raha, kusaidiana pale panapohitajika na mambo mengineyo, kwenye maisha kuna misuko suko mingi kuna wakati unahitaji mtu/rafki wa karibu sana wa kuweza kushauriana nae! hapo sasa ndio mtu ucpokuwa na umakini wa kuchagua ma frnds mtaishia kuleteana uswahili kila kukicha.
 
kama huwezi kumsaidia kwa wakati huo urafiki unakufa? huo sio urafiki!

yeah mi nakusaidia na wewe inabidi unisadie tunaita fadhila kule kwetu Pemba lazima urudishe fadhila bana utaangalia mwenyewe kama ni mwanamke utaangalia mwanaume anataka nn.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom