Can Men and Women Be Friends?

Mimi ni kijana aliyeoa na mwaminifu kwa mke wangu. Cha kuchangaza ni kwamba nina enjoy kampani ya kina dada na nina marafiki wengi wa kike (nazungumzia marafiki na sio wapenzi).

Cha kushangaza ni kwamba watu wengi wanaoniona na marafiki wa kike hudhania kuwa ni wapenzi wangu.

Ningependa wanachama wa JF wajadili kama unaweza kuwa na rafiki wa jinisia tofauti, kiufupi kuwa na platonic relationship? ama huu ni mwanzo wa mambo mengine????
 
Possibly,yawezekana tena hiyo relationship inakuwa bomba zaidi endapo hakutakuwa na hisia za mapenzi but mapendo!!!
 
Kama una mwenzako basi hao marafiki zako wa jinsia tofauti wanaweza wakawa chanzo cha matatizo katika uhusiano wako. Lakini mwulize mwenzako, kama ana tatizo na wewe kuwa na marafiki wa aina hiyo na wewe kama unampenda, basi heshimu matakwa yake na kuacha huo urafiki.
 
Kama una mwenzako basi hao marafiki zako wa jinsia tofauti wanaweza wakawa chanzo cha matatizo katika uhusiano wako. Lakini mwulize mwenzako, kama ana tatizo na wewe kuwa na marafiki wa aina hiyo na wewe kama unampenda, basi heshimu matakwa yake na kuacha huo urafiki.

tatizo ni kwamba ni wanawake wachache sana wanoweza kukuruhusu uwe na rafiki wa kike
 
tatizo ni kwamba ni wanawake wachache sana wanoweza kukuruhusu uwe na rafiki wa kike

Jamani kama Trust ipo wala sijali.Mimi kwangu Ruksa kwa Mr. Kuwa na marafiki wa kike maana na yeye ananiruhusu kuwa na marafiki wa kiume. Kitu cha muhimu ni wewe kujua mipaka/boundaries zako na pia ujue tofauti iko wapi kati ya hao marafiki na mumeo/mkeo. Pia mkiwa wa wazi kati yako na mwenzio kutakuwa hakuna kukuru kakara ndani ya nyumba.
 
kwani mkeo au mmeo hatoshi kuwa rafiki yako mpaka ukatafute wengi. how can you trust somebody under such situation it is not easily. just make your wife the best friend of you!! otherwise you will end up in trouble.
 
kwani mkeo au mmeo hatoshi kuwa rafiki yako mpaka ukatafute wengi. how can you trust somebody under such situation it is not easily. just make your wife the best friend of you!! otherwise you will end up in trouble.

I disagree with that, wakati mwingine kwenye marriage mnahitaji to have your own sets of friends different from his/her's. I agree on the bestfriend part, mumeo/mkeo ndio anatakiwa awe ur bestfriend. But marafiki pia muhimu, napata a lot of ideas kutoka kwa marafiki zangu wa kiume nikiziwakilisha kwa husband, we put them into action na ndio maendeleo yanapatikana hivyo coz hata yeye ananiletea idea kutoka kwa marafiki zake wa kike. Tatizo wabongo wengi akili ziko kwenye ngono ndio maana wengi wanaamini urafiki wa namna hii hauwezekani (people, we need to think outside the box)
 

...friends forever...

Cheating1.jpg
 
Can men and women be "just friends," or is sexual attraction between the sexes always inevitable? According to Rabbi Shmuley, men and women can be friends with members of the opposite sex, as long as they follow certain rules. He talks about platonic friendship between the sexes and shares his ground rules for opposite-sex friendships outside of marriage.

If a person isn't married, Rabbi Shmuley says it's perfectly all right to have friends who are members of the opposite sex. Society has moved away from polarizing the sexes, and today, men and women work together, go to school together and should be able to be friends, he says.

Things are different if you are married, Rabbi Shmuley says. It is possible to have an opposite sex friendship, but you cannot compromise certain borders:

1) You can't go out to late night dinners together. You can have lunch together in a public place, but you should not order alcoholic beverages.
"The embers of attraction really can grow in situations like that, and suddenly it's not so innocent, it's not just friendship anymore," Rabbi Shmuley says.

2) You can't take long drives or long flights with the other person, even if it's for work. "Even if you have to work with a colleague [of the opposite sex], there are still certain boundaries you need to preserve," he says.

3) You cannot place yourself in any situation where romance can grow. "Romance grows when people are alone; romance grows when people tell secrets," Rabbi Shmuley says.

4) You can't share secrets with a platonic male or female friend that you don't share with your spouse. "Because then you're sharing an exclusivity with a member of the opposite sex that you're not with your partner, and that can lead to a big no-no," he says.

5) You should not be friends with ex-lovers.

Nawakilisha.

Post hii post ya ndugu MAMBO JAMBO mwaka 2008 imenikumbusha kitu fulani; tupeane uzoefu!!
 
Very possible bana mi ninaye na hata wife hakuelewa ila kaelwa kuwa we are very good friens na hata sijawazia kumvua hata siku moja!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom