Can I change Him?

Malizia sentensi hii....Naona kama haijakamilika vile.Niwe makini na watu gani? ninaoendana nao kitabia?( wamaanisha kuwa wanaweza kuwa mbwamwitu wenye ngozi ya kondoo?)

Wengi watakufuata i love you so much than Jesus
Ukajua huyu ndiye Mungu kanitunuku.
Tu tubu na kuiamini Injiri.
 
Usidanganyike dada, hawezi kubadilika. Kama unamkubali, ingia ktk ulingo wa ndoa ukijua hakuna kubadilika! Sana sana zaweza kuzuka mpyaaa ambazo hukuwahi kuziona ktk uchumba.
 
Hakuna jambo lisilowezekana dada muhimu mshirikishe Yesu

Sent from my KIW-L24 using JamiiForums mobile app
 
Charity,

Mosi, Hizo tabia ulizozitaja habo juu haziwezi kubadilishwa na simply "your wife to be". Zinahitaji zaidi ya "ahadi ya kuacha"

Pili, Hakuna mwanamke whatsoever mwenye uwezo wa kubadili tabia "mbaya" za mwanaume.

Tatu, huwezi kubadilisha tabia ya mwanaume!
Umenena.
 
Boys will be boys always ...... Never change. Women have this illusion that they will change their boys, they end in frustrations.

Girls will always be girls .... Always changing. Men have the illusion that his woman will always be the same, they end in frustrations. The first year in wedlock and you are completely living with a different woman ... For ever!!

It is women who change for good or for worse, but men are the same
That is theory ..
Base on reality not quatations
AMEN,Hicho kwenye red ndicho kinatia nguvu .Lakni yataka moyo.


Sent from my SM-G532F using JamiiForums mobile app
 
Ninachoamini ni kuwa huwezi badili tabia ya mtu mzima. Wahenga walisema mkunje samaki angali mbichi
 
1.kwenye ndoa si mahala pa kubadili tabia za msingi labda mchumba awe below 20 yrs
2.tabia ndogo ndogo zaweza badilishwa,kama kuwa msafi...unaweza mbadili.
3.zile tabia zake mbaya,idadi yake zidisha kwa mbili ndizo jumla ya tabia zake zote usizozitaka......nina maana zipo tabia zingine mbaya kabisa hutazijua kamwe hadi uolewe.....usitishike ni mambo ya kawaida.huyo jamaa yako sie yeye wa baadae.
4.hakuna mtu anaeoa/kuolewa na malaika, kila mtu ana kasoro nyingi tu ,hata wewe unazokasoro zako dawa nikuvumiliana
5.akikupenda sana sana,i mean sana...yaani kuzidi maelezo(na sijui utafanyaje hadi awe hivyo)basi aweza kuwa vile upendavyo kwa muda....penzi likichuja anarudia tabia yake ya awali.
6.kwenye uchumba kila mtu ni kondoo,mpole mwema,anajali....kila utakachomweleza ni ndio,yaani hapo nidhamu ni mia.baada ya ndoa nidhamu ni sifuri........
Inapungua hadi siku itafika sifuri.
Hata hivyo usijali sana....ni mawazo yangu tu. Mng'ang'anie sana huyo jamaa hadi kieleweke....si unajua tena?achana na mambo ya kumpekua pekua kuku,utashindwa kumla.
Ushaur mzur nna jamaa yang anatabia nying czpend anasema eti anioe then nimbadlishe taratbu kwenye ndoa kitu ambacho naona hakiwezekan
 
Nikuulize je anakupenda kwa dhati? Kama hujui km unapendwa au hupendwi jibu HUWEZI...ila kama kwenye akili zako unaamini anakupenda kwa dhati basi unaweza kumbadilisha

Post sent using JamiiForums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom