Gagurito
JF-Expert Member
- Feb 11, 2011
- 5,600
- 803
Huwezi amini kwamba ule moto uliowashwa Tunisia, ukaenda Egpty na ambao kwa sasa tunausikia Libya si kitambo utawashwa nchin Cameroon. Madai ya Raia hawa ni yale yale ya kupinga serikali ya Rais Paul Biya aliyedumu madarakani mwaka wa 28 sasa, na yupo ktk mchakato wa kugombea kipindi kingine ktk uchaguzi unaotiliwa mashaka wa kutokuwa huru na haki. Kwa mwendo huu natumai EAST AFRICA ITAFIKIWA SI KITAMBO NA UPEPO HUU, natabiri moto huu kuanzia kenya, uganda then tz.