TataMadiba
JF-Expert Member
- Feb 7, 2014
- 9,868
- 5,753
Ni Remote-controlled. Zinapiga picha kotokea utosini(Top viewed). Zina umbo la Helkopta na zina ukubwa sawa na ndege KUNGURU na ndiyo maana Ndege hao huzifuata wakifikiri ni Kunguru wenzao.
Kwa wale amba pengine huwa mnabaki kushangaa na kuacha kufuatilia hotuba za wanasiasa na sera zao, nimeona niwahabarishe na ukitaka kuona namna vijana wa Bakheresa wanavyofanya kazi, tembelea Basi lao kubwa ambalo huwa liko eneo la tukio.
Kwa wale amba pengine huwa mnabaki kushangaa na kuacha kufuatilia hotuba za wanasiasa na sera zao, nimeona niwahabarishe na ukitaka kuona namna vijana wa Bakheresa wanavyofanya kazi, tembelea Basi lao kubwa ambalo huwa liko eneo la tukio.