CAMERA FAILED ERROR SAMSUNG S 25

CAMERA FAILED ERROR SAMSUNG S 25

Mndengereko

JF-Expert Member
Joined
Mar 24, 2011
Posts
7,317
Reaction score
3,430
Wakuu kwema? wale wazoefu simu yangu ya samsung aina ya S25 muda mwingi inaniambia camera failed hivyo haioperate chochote na baada y masaa mengi kupita hurudi na kuoperate normaly walau kwa muda mchache nimejaribu kufuata njia mbalibmali za online kusolve tatizo lakini bado lipo naomba msaada zaidi kwa mwenye ufahamu,kuna uwezekano wa kubadilisha harware part ya camera? au ndio nitaiua zaidi

NB:Chanzo cha tatizo nahisi ni kuanguka kwa simu.
 
Mkuu kwa hizo tabia probably ni HARDWARE issue kama una warranty warudishie waliokuuzia wabadili hardware ni gharama nafuu kuliko kupeleka kwa fundi.

Otherwise badili hardware zipo spare either mpya au za kutoa kwa simu nyingine. Ukiingia kariakoo au kwa samsung dealer hukosi solution.

Ushafanya factory reset na kuclear catche?
 
Umejaribu factory reset/flash simu na bado imegoma?

Kuna dalili zingine kama betri kuwahi kuisha chaji kidogo, speaker kukwama kidogo ukiweka sauti kwa level ya juu nk?
 
Back
Top Bottom