Camera: Canon v/s Nikon

kwahyo mkuu vigezo gani hasa nkifika kwa muuzaji niangalie me nahitaji ya still pic tuu ila pic zenye ubora mzuri ili niendane na kasi ya 2016,na vipi yale malensi ni muhimu kuwa nayo kwa shuvhuli za kawaida tuu,then cjawahi ktumia hzo pro camera je itanisumbua mda gani ili na mm niwe pro? karibu sana
Japo unataka still camera tuu, dunia ya sasa ni dunia ya kidigitali yenye kuhitaji picha na video, hivyo kama unajiweza nunua canon.

Hizo lensi ni muhimu kwa pro tuu, kwa mpiga picha wa matukio ya kawaida kama sherehe, huhitaji hayo ma lensi, ila raha ya kupiga picha ni kupiga picha nzuri, hivyo ukijua kutumia hizo lensi itakusaidia, mfano ukipiga picha ya pamoja kwa watu wengi lazima uwe na lensi ya wide angle, kupiga picha ya close up, ili uone hadi nywe moja moja au kipele, lazima utumie zoom, au unaweza kukaa mbali na kupata picha nzuri.

Ili kuwa pro kuna njia mbili kuu.
1. Kwenda shule hata ya miezi 3.
2. Kumiliki kamera na kuelekezwa na wazoefu, hivyo kujifunza kwa practice!.

Pasco
 
Japo unataka still camera tuu, dunia ya sasa ni dunia ya kidigitali yenye kuhitaji picha na video, hivyo kama unajiweza nunua canon.

Hizo lensi ni muhimu kwa pro tuu, kwa mpiga picha wa matukio ya kawaida kama sherehe, huhitaji hayo ma lensi, ila raha ya kupiga picha ni kupiga picha nzuri, hivyo ukijua kutumia hizo lensi itakusaidia, mfano ukipiga picha ya pamoja kwa watu wengi lazima uwe na lensi ya wide angle, kupiga picha ya close up, ili uone hadi nywe moja moja au kipele, lazima utumie zoom, au unaweza kukaa mbali na kupata picha nzuri.

Ili kuwa pro kuna njia mbili kuu.
1. Kwenda shule hata ya miezi 3.
2. Kumiliki kamera na kuelekezwa na wazoefu, hivyo kujifunza kwa practice!.

Pasco
asanteh sana vigezo gani hasa muhim ntumie kwenye manunuzi ya pro cam? then bajet yang.ni kama 1.5 hivi ila naona canon nyi.g znaanzia 2 sasa tushauriane hapo ili nsije nkanunu canon ambayo haina uwezo mzuri niangalia vitu gani haswa nkifikia kwa muuzaji(minimum requrements)
 
kwa vigezo hivyo kama sensor,dynamic range,aperture nk inabidi viweje chief hebu nielekeze sasa kinaga ubaga maana cjawahi kabisa tumia hizi camera za pro
we kanunue camera mkuu kisha weka AUTO then twaanga photo mengine utajifunza kwa kuuliza once u have camera....
 
kwa vigezo hivyo kama sensor,dynamic range,aperture nk inabidi viweje chief hebu nielekeze sasa kinaga ubaga maana cjawahi kabisa tumia hizi camera za pro

tafuta entry level DSLR camera, kwakuwa budget yako ni 1.5 search online camera za around dola 400 mpaka 500 ndio huku zitakuwa around bei hio.
cheki hii link itakusaidia Best Cameras Under $500 in 2016 | Switchback Travel

ukiingia hapo utaona jamaa anakazania sana kuelezea vitu kama sensor na lens badala ya megapixel hivyo vitu vina maana hizi

1. sensor - kitu muhimu zaidi kwenye camera jinsi inavyokuwa kubwa ndio pixel zitakuwa kubwa ndio jinsi mwanga utaingia mwingi na ndio jinsi picha zitakavyotoka vizuri picha. ila DSLR karibia zote zina sensor kubwa. sensor inapimwa kwa SI unit za urefu mfano inaweza kuwa 350 milimetre square

2. aperture, exposure na iso- jinsi camera itakavyocontrol mwanga na speed ya uchukuaji picha visome zaidi hapa Camera Exposure: Aperture, ISO & Shutter Speed
hii inapimwa kwa f na ikiwa ndogo ndio aoerture ni kubwa zaidi

3. lens- mambo ya kuzoom, macro shot, nk yapo hapa mfano unataka kupiga picha ya nyuki akiwa juu ya ua itabidi uwe na lens nzuri

kumbuka tafuta DSLR usije ukauziwa point and shoot camera, ukiwa na DSLR then mambo mengi mazuri automatic yatakuwepo.
 
Sina utaalam na kamera ila Canon naiona ndio nzuri kulingana na kupendwa sana na wengi.

Kwa Canon napigia mjapani saluti
mkuu kwema,
mimi niko Tanzania, naomba nikuagize uninunulie camera low cost huko ulipo kwa ajili ya utengenezaji wa filamu.
Nahitaji camera ambazo ni za viwango vya juu kidogo na vifaa vingine ambavyo vitanisaidia kutengeneza filamu nzuri.

Kama unavojua filamu za bongo zilivyo za ajabu, tunahitaji mabadiliko sana sana.
Naomba msaada wenu mlioko nje huko.
asante
 
tafuta entry level DSLR camera, kwakuwa budget yako ni 1.5 search online camera za around dola 400 mpaka 500 ndio huku zitakuwa around bei hio.
cheki hii link itakusaidia Best Cameras Under $500 in 2016 | Switchback Travel

ukiingia hapo utaona jamaa anakazania sana kuelezea vitu kama sensor na lens badala ya megapixel hivyo vitu vina maana hizi

1. sensor - kitu muhimu zaidi kwenye camera jinsi inavyokuwa kubwa ndio pixel zitakuwa kubwa ndio jinsi mwanga utaingia mwingi na ndio jinsi picha zitakavyotoka vizuri picha. ila DSLR karibia zote zina sensor kubwa. sensor inapimwa kwa SI unit za urefu mfano inaweza kuwa 350 milimetre square

2. aperture, exposure na iso- jinsi camera itakavyocontrol mwanga na speed ya uchukuaji picha visome zaidi hapa Camera Exposure: Aperture, ISO & Shutter Speed
hii inapimwa kwa f na ikiwa ndogo ndio aoerture ni kubwa zaidi

3. lens- mambo ya kuzoom, macro shot, nk yapo hapa mfano unataka kupiga picha ya nyuki akiwa juu ya ua itabidi uwe na lens nzuri

kumbuka tafuta DSLR usije ukauziwa point and shoot camera, ukiwa na DSLR then mambo mengi mazuri automatic yatakuwepo.
Mkuu nimenemeeka sana na hizi hints zako.
Ila nina duku duku kidogo, je hizi hints naweza kuzitumia katika camera maalum kwa ajili ya movie?
Mimi si mtaalam wa mambo haya ya movie, ila nina mpango wa kujifunza haya mambo mpaka niwe mtaalamu kabisa,
Naomba maelezo mengine ya ziada kuhusu camera zinazohusiana na utengenezaji wa filamu.

Kama uko dar mkuu pia naomba tuwasiliane uso kwa uso ili nipate mwanga zaidi
 
Mkuu nimenemeeka sana na hizi hints zako.
Ila nina duku duku kidogo, je hizi hints naweza kuzitumia katika camera maalum kwa ajili ya movie?
Mimi si mtaalam wa mambo haya ya movie, ila nina mpango wa kujifunza haya mambo mpaka niwe mtaalamu kabisa,
Naomba maelezo mengine ya ziada kuhusu camera zinazohusiana na utengenezaji wa filamu.

Kama uko dar mkuu pia naomba tuwasiliane uso kwa uso ili nipate mwanga zaidi

basic ni hio hio ila nina uhakika kwenye kazi yaki pro kama hio kutakuwa na mambo mengi yameongezeka. unahitaji pro mzoefu akushauri sio mimi na jinsi soko letu lilivyo baya kupata ushauri hapa pia ni ngumu.

mfanye google awe rafiki utapata mwanga zaidi
 
mimi si pro ila usitafute camera kwa kuangalia brandname wala megapixel, angalia vitu kama sensor, dynamic range, aperture nk hivyo ndio vina mchango mkubwa zaidi na kama kuna aina za camera unazo kichwani ungezieka hapa watu wakaangalia tofauti zao
Ukubwa wa pixel au megapixel ni primary factor ya quality kwenye picha au video.. Camera ikiwa na megapixel kubwa picha itakayochukua inakuwa na detail nyingi au inakuwa sharpen it means hadi vitu vidogo dogo kuonekana ni rahisi kuliko ukitumia camera ya mpixel ndogo..nnamaa kama camera mbili zina apercher,sensor, and dynamic range sawa lakini zinautofauti katika megapixel basi ile yenye megapixel kubwa itatoa picha nzuri sana kupita yenye mp ndogo
 
Ukubwa wa pixel au megapixel ni primary factor ya quality kwenye picha au video.. Camera ikiwa na megapixel kubwa picha itakayochukua inakuwa na detail nyingi au inakuwa sharpen it means hadi vitu vidogo dogo kuonekana ni rahisi kuliko ukitumia camera ya mpixel ndogo..nnamaa kama camera mbili zina apercher,sensor, and dynamic range sawa lakini zinautofauti katika megapixel basi ile yenye megapixel kubwa itatoa picha nzuri sana kupita yenye mp ndogo

hapana kaka si kweli.

ukumbuke megapixel zinakwenda na size ya sensor.

ukiwa na megapixel nyingi zitabanana kwenye sensor na vitakuwa vidogo vidogo hivyo vitakosa mwanga na vitakuwa na noise na pia dynamic range itakuwa ndogo mwisho wa siku na quality ya picha itakuwa ndogo.

ukiwa na megapixel chache na sensor kubwa then utakuwa na mapixel makubwa yatapata mwanga wa kutosha kutakuwa hamna noise na pia dynamic range itakuwa kubwa na mwiso wa siku quality itakuwa kubwa.

na kama megapixel ni primary factor angalia camera za simu then fananisha na dslr. camera za simu zina megapixel nyingi lakini quality mbovu wakati dslr zina megapixel chache na quality kubwa.
 
hapana kaka si kweli.

ukumbuke megapixel zinakwenda na size ya sensor.

ukiwa na megapixel nyingi zitabanana kwenye sensor na vitakuwa vidogo vidogo hivyo vitakosa mwanga na vitakuwa na noise na pia dynamic range itakuwa ndogo mwisho wa siku na quality ya picha itakuwa ndogo.

ukiwa na megapixel chache na sensor kubwa then utakuwa na mapixel makubwa yatapata mwanga wa kutosha kutakuwa hamna noise na pia dynamic range itakuwa kubwa na mwiso wa siku quality itakuwa kubwa.

na kama megapixel ni primary factor angalia camera za simu then fananisha na dslr. camera za simu zina megapixel nyingi lakini quality mbovu wakati dslr zina megapixel chache na quality kubwa.
Hapa umezungumzia quality ya picture katika aspect ya low light..inajulikana kamera yenye sensor kubwa huwa inayoa picha vizuri katika low light na ndiomaana sikuhizi watu wanatumia sana dslr camera kupita camcorder sababu ya sensor size...meshimiwa chief mimi nafanya praticaly linganisha camera ya 12mp na 21mp dslr ambazo zina same aperture dinamic range na sensor size. Tumia kupigapicha katika mazingira ya nje yaani standard light au roomlight utaona ile yenye 21mp inachukua picha yenye quality yaani muonekano mzuri kabisa kuliko yenye 12mp
NA PIA USILINGANISHE KAMERA ZA SIMU NA DEDICATED CAMERA DSLR AU ANY PRO CAMERA...kamera za simu just intergrated camera ambazo ufanyajikazi wake sio mahiri kwa sababu ya cpu na gpu ya simu husika inakuwa na kazi nyingi sio camera pekee na ndo mana unakuta htc one x yenye intergrated camera 8mp inapitwa na camera ya samsung digital camera non dslr yenye 6mp.
TUKIZUNGUMZIA DEDICATED CAMERA!! Megapixel ni primari FACTOR YA QUALITY YA PICTURE .
 
Kwenye simu megapixel tunaweza sema sio primari factor kwa sababu najionea mwenyewe hapa nina ka iphone 4 chenye 5mp lakini kanampita tecno h6 yenye mp8 kidogo zinataka kufanana katika sensor size na hardware zingine...LAKINI TUKIZUNGUMZIA KAMERA WALA TUSISHIRIKISHE KAMERA ZA SIMU.
 
Hapa umezungumzia quality ya picture katika aspect ya low light..inajulikana kamera yenye sensor kubwa huwa inayoa picha vizuri katika low light na ndiomaana sikuhizi watu wanatumia sana dslr camera kupita camcorder sababu ya sensor size...meshimiwa chief mimi nafanya praticaly linganisha camera ya 12mp na 21mp dslr ambazo zina same aperture dinamic range na sensor size. Tumia kupigapicha katika mazingira ya nje yaani standard light au roomlight utaona ile yenye 21mp inachukua picha yenye quality yaani muonekano mzuri kabisa kuliko yenye 12mp
NA PIA USILINGANISHE KAMERA ZA SIMU NA DEDICATED CAMERA DSLR AU ANY PRO CAMERA...kamera za simu just intergrated camera ambazo ufanyajikazi wake sio mahiri kwa sababu ya cpu na gpu ya simu husika inakuwa na kazi nyingi sio camera pekee na ndo mana unakuta htc one x yenye intergrated camera 8mp inapitwa na camera ya samsung digital camera non dslr yenye 6mp.
TUKIZUNGUMZIA DEDICATED CAMERA!! Megapixel ni primari FACTOR YA QUALITY YA PICTURE .

si kweli kwamba sensor kubwa inasaidia kwenye low light tu, sensor kubwa inasaidia kwenye overall camera quality, sensor ndio kitu muhimu zaidi kwenye camera.

ukiona dslr ina 21mp ujue na sensor yake ni kubwa na hio ya 12mp ujue sensor yake ni ndogo kwenye dslr hawataki gimmick za kijinga sababu zinatengenezwa kwa ajili ya pro, na huwezi kumdanganya pro kwa kutumia megapixel wataalamu wote wa camera wanajua kuwa sensor ni muhimu zaidi.

hilo la kwamba cpu na gpu za simu zinafanya mambo mengi ndio maana camera za simu hazina quality pia si kweli sababu nakupa hizi
1. simu za iphone na windows phone hazina true multitasking ukiwa hutumii app almost cpu na gpu zinakuwa idle bila kazi ya kufanya
2. hata ufunge apps zote quality ya camera haitaongezeka

camera za simu ni mbaya sababu wanatumia sensor ndogo ukumbuke simu ni nyembamba kuliko camera hii ni comparison ya ukubwa wa sensor
camera-sensor-size-30.jpg


-rangi ya orange ndio full frame inayotumika kwenye camera za pro,
-rangi ya kijani imetumika kwenye camera kama ya nokia 808
-hio blue ndio sensor za simu sasa vidogooo ndio maana quality nayo ndogo
 
Kwenye simu megapixel tunaweza sema sio primari factor kwa sababu najionea mwenyewe hapa nina ka iphone 4 chenye 5mp lakini kanampita tecno h6 yenye mp8 kidogo zinataka kufanana katika sensor size na hardware zingine...LAKINI TUKIZUNGUMZIA KAMERA WALA TUSISHIRIKISHE KAMERA ZA SIMU.
camera ni camera tu kaka kokote utakapokwenda utakuta sensor ndio deciding factor, galaxy K zoom, panasonic lumix, nokia 808 zina cameraq nzuri sababu zina sensor kubwa na megapixel chache.

angalia nokia 808 ina senosr kubwa ya megapixel 41 lakini output ya picha ni megapixel 5 tu. why nokia watumie sensor kubwa na kutoa picha ya megapixel 5? kama megapixel ni quality why wasitoe picha za megapixel 41? ndio hapo inapokuja sababu niliokupa juu, megapixel chache kwenye sensor kubwa inamaana pixel zitakuwa kubwa na mwanga utaingia mwingi, dynamic range itakuwa kubwa na pia quality ya picha/video itakuwa kubwa.

na ukitaka kujua megapixel sio issue chukua hio hio nokia 808 halafu disable pureview mode then iache ichukue picha za 41mp utaona picha zitatoka na noise na quality ambayo si nzuri kama ya 5mp
 
Mwaka jana nilikua na mgogoro kama wako juu ya Camera gani ya kisasa ninunue kwa ajili ya familia yangu; nilifanya utafiti mwingi na kuongea na wataalamu na mwisho pamoja na mwanzo kuipenda sana CANON niliamua kuchagua NIKON (D 3300) sababu zikiwa ni zile zile zilizotajwa na wachangiaji wengi humu kama ifuatavyo;
  1. BUDGET: Jiulize, je, una uwezo kiasi kwa ajili ya Camera unayoitaka? Bei ya Camera mpaka ifike hapa Tanzania ndio kigezo cha kwanza muhimu kuliko zote, kwani bei ya Camera mpaka ifike hapa huongezewa na gharama ya usafiri, kodi na pengine faida ya muuzaji (Margin)
  2. USE: Jiulize, je, unataka kupiga picha kuwe ni ajira yako ama kwa matumizi yasiyo ya kiajira ... Jibu namba 1 na 2 yatatosha kukusaidia kufahamu kama mpango wako ni halisia ama lah i.e Proffessional Camera mara zote bei yake huwa mara dufu ukilinganisha na kamera za matumizi binafsi (Entry level DSLR)
Kumbuka:

Bei ya Camera huathiriwa sana na Lens, hivyo basi kama ulivyo Moyo kwa binadamu-ndivyo zilivyo lens kwa camera. Wazungu wametengeneza lens tofauti kwa matumizi tofauti, lens inayokuja na Camera mara zote inakuwa ni kwa matumizi ya kawaida tu ... hivyo utaitajika kufikiria kununua lens pengine kwa bei sawa na Camera pamoja na Betri na Memory Card.

Mwisho, mimi si professional lakini ''Ceteris Peribas'' kwa entry level DSLR Camera(Matumizi ya kawaida) .... NIKON is the best; kwa professional DSLR camera hakuna camera bora sana but ubora wa LENS is what going to make a difference.

(Ni mtazamo binafsi)
 
Mwaka jana nilikua na mgogoro kama wako juu ya Camera gani ya kisasa ninunue kwa ajili ya familia yangu; nilifanya utafiti mwingi na kuongea na wataalamu na mwisho pamoja na mwanzo kuipenda sana CANON niliamua kuchagua NIKON (D 3300) sababu zikiwa ni zile zile zilizotajwa na wachangiaji wengi humu kama ifuatavyo;
  1. BUDGET: Jiulize, je, una uwezo kiasi kwa ajili ya Camera unayoitaka? Bei ya Camera mpaka ifike hapa Tanzania ndio kigezo cha kwanza muhimu kuliko zote, kwani bei ya Camera mpaka ifike hapa huongezewa na gharama ya usafiri, kodi na pengine faida ya muuzaji (Margin)
  2. USE: Jiulize, je, unataka kupiga picha kuwe ni ajira yako ama kwa matumizi yasiyo ya kiajira ... Jibu namba 1 na 2 yatatosha kukusaidia kufahamu kama mpango wako ni halisia ama lah i.e Proffessional Camera mara zote bei yake huwa mara dufu ukilinganisha na kamera za matumizi binafsi (Entry level DSLR)
Kumbuka:

Bei ya Camera huathiriwa sana na Lens, hivyo basi kama ulivyo Moyo kwa binadamu-ndivyo zilivyo lens kwa camera. Wazungu wametengeneza lens tofauti kwa matumizi tofauti, lens inayokuja na Camera mara zote inakuwa ni kwa matumizi ya kawaida tu ... hivyo utaitajika kufikiria kununua lens pengine kwa bei sawa na Camera pamoja na Betri na Memory Card.

Mwisho, mimi si professional lakini ''Ceteris Peribas'' kwa entry level DSLR Camera(Matumizi ya kawaida) .... NIKON is the best; kwa professional DSLR camera hakuna camera bora sana but ubora wa LENS is what going to make a difference.

(Ni mtazamo binafsi)
aisee we ni hazina kubwa kwa taifa
 
duuh pale si ndo nasikia unalipia hadi bei ya ac
Mkuu hapa lazima ujifahirishe nawe... Hapo unapata ORIGINOL.. siyo magumashi na baadaye wajutia fedha zako!!
Jifunze kununua vitu QUALITY , BRAND na Standard nzuri....
Hata roho inafurahi...
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom