Acheni utani,hakuna kitu kinaitwa rest in peace,kama alikuwa muovu adhabu yake ni kuzimu ktk tormenting kama alikuwa anaishi maisha ya kiutakatifu then ataenda mbinguni,suala la kujudge sio letu,,,wewe marehemu hebu sikia,hatukutaki tena huku nenda ufuate nuru utakayoiona,kama ulivifuata ulivyofundishwa na mchungaji wako basi fuata hiyo nuru,