CAG Prof. Mussa Assad amjibu Spika Ndugai, Asema Katiba ya JMT haina kifungu kinachomtaka ajieleze

Msomi atashinda,kwakua ana hoja za msingi,kuwa dhaifu ni kawaida kwa kitu,mtu,hata mbwa pia wapo dhaifu.

Mbwa anaye mbwekea anayemlisha kwa kuwa karuka getting ni mbwa mzuri Sana ,kuliko mbwa anaye mbwekea anayemlisha ili mlishaji aone Kuna mbwa!.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Daaah hivi ndugae ugonjwa ambao alilazwa India hauhusiani na upstairs kidogo?maana anagaragazwa na kuchakazwa
 
neno hkili ni sawa na wanasiasa aanavyotuita wananchi wanyonge kwani sisi tunape da kuitwa wanyonge WAO DHAIFU SISI WANYONGE
Mkuu hakika umenena,eti sisi wanyonge wao kuitwa dhaifu nongwa,inabidi watufafanulie mwananchi ni nani,nahuyo mwananchi mnyonge ni yupi.Kumbe wao so wananchi na si wanyonge.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Watanzania wote wanyonge, Acha kutetea wezi na wabadhirifu wa pesa za umma (Kodi zetu), Pesa zinaibiwa bila huruma, upendeleo umekuwa jambo la kawaida. Rais huyu siyo mkweli.
 


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Safari hii nitakuwa makini wakati wa kumchagua mbunge wangu wa jimbo la kinondoni walau afanane fanane kidogo na mbunge wa Singida mashariki kitaaluma.

Haiwezekani CAG aielewe vizuri katiba kuliko mbunge wangu.

Maendeleo hayana vyama!
Hahaaaaaaa........

Kweli Mkuu Johnthebabtist umenena!
 
Raisi anaapishwa na jaji mkuu..Jee Jaji Mkuu ni juu ya raisi?
 
neno hkili ni sawa na wanasiasa aanavyotuita wananchi wanyonge kwani sisi tunape da kuitwa wanyonge WAO DHAIFU SISI WANYONGE
Pia wao wanavyopenda kuitwa MHESHIMIWA, hivi walishatuuliza sisi wananchi ikiwa tunapenda kuwaita hilo jina. Kinyume cha MHESHIMIWA kuna MDHARAULIWA.

Wote tuitane ndugu, Ndugu Spika Job Ndugau, Ndugu Rais nk.
 
CAG ni mwenyekiti wa chama gani cha kisiasa ?? kwa Maana yupo busy kweli kupambana na hoja za kisiasa Badala ya kutekeleza majukumu yake kitaalam.
 
Hii ni intellectual fight haihitaji muscles elongated. Sasa sijui kama hao wapiganaji wanazo weapon za kutosha kusimama kwenye battle hii. Naona wanapigana Watu ambao hawapo katika level moja
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…