joe78
JF-Expert Member
- Jan 8, 2017
- 302
- 334
Msomi atashinda,kwakua ana hoja za msingi,kuwa dhaifu ni kawaida kwa kitu,mtu,hata mbwa pia wapo dhaifu.CAG ameamua kumjibu mheshimiwa spika baada ya press conference ya jana ambayo spika amemtaka ajiuzulu.
Katika majibu hayo CAG amebainisha vizuri akitumia vipengele vya Katiba kuainisha wajibu wake bila kutetereka.
Hii ngoma ni kali kweli kweli, maana hapa kuna msomi vs mwanasiasa.
Sijui mshindi ataibuka nani.
Mbwa anaye mbwekea anayemlisha kwa kuwa karuka getting ni mbwa mzuri Sana ,kuliko mbwa anaye mbwekea anayemlisha ili mlishaji aone Kuna mbwa!.
Sent using Jamii Forums mobile app