Kinyungu
JF-Expert Member
- Apr 6, 2008
- 17,371
- 33,018
Hv una akili kabisa au aliondoka nazo?Ninaona madalali wa AstraZeneca mpo mzigoni.
Hv una akili kabisa au aliondoka nazo?Ninaona madalali wa AstraZeneca mpo mzigoni.
Haya utuambie na wewe wa nani.6Ni nani duniani hii asiyejua kuwa Lissu, Mbowe na mashabiki wao ni vibaraka wa mabeberu?
Aliambiwa ulimi wake usiwe na kigugumizu, ujumbe mujarabu kwa mataga.Wasiojulikana bado hawajajulikana tu? Pole CAG wetu - tunakuombea endelea kuyaanika maovu yao yoote as long as Rais ashakupa Rungu we twanga tu hata la Bichwa hakuna wa kukutisha !!
Kama alivyokuwa anasema LissuAnatafuta Kiki tu huyu
Hakuna ripoti ya serikali iliyowahi kuiacha serikali salama, iweje yeye atishiwe maisha lakini si vibaya akachukua tahadhari maana tuna watu ambao wamepoteza utuCAG naye ameanza kutafuta "kiki".
Hata waliowahikupata madhara mliwalisha maneno kuwa wanatafuta kiki pindi walipolalamika.Hivi tuseme kwa ulinzi alionao mkuu wetu ni kwa sababu ametishiwa KIFO? Achei kiki vijana fanyeni kazi . Ulinzi ni sehemu ya mahitaji yake kulingana na wadhifa wake.
Tuache kulishana maneno na kumsingizia mtu eti amesema, mbona hajapokea simu kuthibisha? huu ni UCHOCHEZI tu na kumvunjia heshima mteule aonekane mtu wa kiki za mitandaoni na kwenye media
Hii ni comment kutoka kwa MATAGAHawa kina kichere ndio wanasababisha Degree, Masters, PhD, CPA na ACCA zetu zinaambiwa hazina maana
Kutishiwa kunaweza kuwepo au kusiwepo ila huku kuja kuja kutangaza kwenye magazeti na mitandaoni ni kutafuta kiki tuu kama kina vanny boy.
Na haya matangazo hayana faida yoyote kwenye kuimarisha usalama wake, zaidizaidi anawapa watu fursa ya kumjua kiundani
Kichere aache siasa na kutaka umaarufu wa kitoto. Kuna nafasi ukipewa serikalini lazima upewe ulinzi wa kutosha na yeye anao
Vinginevyo aseme anachokitaka
Umepagawa?AstraZeneca inahusikaje hapa?Huyo Head of The Gang kaondoka hivi hivi kwa kudhihaki Corona na kusifia nyungu,yu wapi sasa?Umeshapata chanjo ya AstraZeneca kama Mbowe alivyowaasa?
Ninasikia damu za ubongo wenu mliopewa AstraZeneca zinaganda. No wonder hata akili zenu zimeganda.Umepagawa?AstraZeneca inahusikaje hapa?Huyo Head of The Gang kaondoka hivi hivi kwa kudhihaki Corona na kusifia nyungu,yu wapi sasa?
Waliogundua hiyo Chanjo hawakulazimishii ni wewe tu na shida zako.Hakuna uadui wowote hapo Bali nyungu ni alama na ishara za wazi za uchawi/ushirikina.
Fanyeni utafiti wa dawa asili za Tanzania na Madagascar mtuletee tiba/kinga ya Corona vinginevyo endelea na maombolezo.
Pengine ni GangHatari bwashee!
Mbona ile report ni ya kawaida sana ni nani anamtisha?
Unanijumuisha na nani?Hapa jf na kwingine kokote huwa najimiliki mwenyewe,unadhani kila ajaye hapa anawashirika kama ulivyojizoesha?Ninasikia damu za ubongo wenu mliopewa AstraZeneca zinaganda. No wonder hata akili zenu zimeganda.
Lilikuwa jizi la kura fullstop.
Madalali wa AstraZeneca akili zenu zina hitilafu.Unanijumuisha na nani?Hapa jf na kwingine kokote huwa najimiliki mwenyewe,unadhani kila ajaye hapa anawashirika kama ulivyojizoesha?
Ubongo wako umeganda hata kabla ya hicho unachokidhihaki(AstraZeneca Vaccine),ukirest in peace utakuwa alone.
We sema shetani mweusi amelala usingizi wa umauti!
Mtu aliyekufa anaweza kukumbukwa aidha kwa MABAYA au MAZURI!
Je, unawakumbuka hawa: HITLER(Germany), FARAO/FIRAUNI(Egypt), IDD AMIN DADAA(Uganda), MOBUTU SESE SEKO(Zairwa/DRC)?
Kwanini hawa dictators history inawanakumbuka?
Because they did EVILS to human beings pamoja na kuwa kuna vitu vizuri wakifanya!
Ndiyo maana hata MAHAKAMA inamhukumu mtuhumiwa kwa MABAYA aliyotenda! Hata kama maisha yake yote alitenda mema kwa 99% lakini ile 1% tu inatosha kumpa a life sentence!!!
CCM Ni genge la kihalifu.Aisee CCM wanataka kumuua.
Ahsante,nimekuelewa vema.Madalali wa AstraZeneca akili zenu zina hitilafu.