Kinyungu
JF-Expert Member
- Apr 6, 2008
- 17,365
- 33,004
Boya wako ndiyo basi tena. Apige tena mikwara yake kama anaweza.Hakuna mtafuta kiki kama mlevi Mbowe na dalali wa AstraZeneca.
Boya wako ndiyo basi tena. Apige tena mikwara yake kama anaweza.Hakuna mtafuta kiki kama mlevi Mbowe na dalali wa AstraZeneca.
Tangu wamwambie aongee lolote sasa ameanza kujiropokea tu.Atishiwe ulinzi kwa lipi!
Sukuma GANG..Hatari bwashee!
Mbona ile report ni ya kawaida sana ni nani anamtisha?
Hawajijui kuwa wao ni wapumbavuCCM acheni upumbavu huu.
AminaHuyu sasa ndiyo wa kumuombea sio bwana.na ninaamini kila siku wanaoifilisi hii inchi na kuiludisha nyuma ni haohao CCM,naamini hakitabaki kitu tunaenda kuona muanguko wa CCM
Na yule wa we umesikia wapi alishasema....Mbunge aliyepita wa Kilwa kule, Bwana BwegeLema alishasema kuwa wakiwamaliza wapinzani watahamia kwao kwa wao na sasa yametimia
Ninaona madalali wa AstraZeneca mpo mzigoni.Boya wako ndiyo basi tena. Apige tena mikwara yake kama anaweza.
Si ndiyo nchi ilipofika sasa, kila mtu msemaji.Tangu wamwambie aongee lolote sasa ameanza kujiropokea tu.
Hata Lissu aliposema mntaka kumuua, mlimwambia hivi hivi, "kiki"CAG naye ameanza kutafuta "kiki".
Hadi anakera sasaSi ndiyo nchi ilipofika sasa, kila mtu msemaji.
Mzee wa sasa tunaaanzaaaa upyaaaaaaaaaaaaaNa yule wa we umesikia wapi alishasema....Mbunge aliyepita wa Kilwa kule, Bwana Bwege
Tunammisi Magufuli.Hadi anakera sasa
Mkiambiwa ukweli mnawasingizia mabeberu,nyie mbuzi jike?Mnakwama wapi CCM & co?Hao uliowataja ndiyo walisababisha ubadhirifu ama waliwatuma wabadhirifu waliotajwa na CAG?Ni nani duniani hii asiyejua kuwa Lissu, Mbowe na mashabiki wao ni vibaraka wa mabeberu?
Yaani acha tutunammisi Magufuli.
Umeshapata chanjo ya AstraZeneca kama Mbowe alivyowaasa?Mkiambiwa ukweli mnawasingizia mabeberu,nyie mbuzi jike?Mnakwama wapi CCM & co?Hao uliowataja ndiyo walisababisha ubadhirifu ama waliwatuma wabadhirifu waliotajwa na CAG?
Tuache propaganda, tusimame kwenye ukweli maana kweli itatuweka Huru.
May his soul rest in heaven! 🙏Yaani acha tu
Haaaa wamekosa wa kupambana nae sasa wanapambana wenyewe. Hukuiona issue ya Mbowe juzi wale std 7 walivyopata chakula?Walidhani wanaua upinzani kumbe wanatengeneza upinzani ndani ya chama chao...CCM imegawanyika sasa hivi...kuwa watawala na wapinzani