CAG: Hakuna ufisadi NSSF

CAG: Hakuna ufisadi NSSF

Humu mnamijitu hata siku yesu akishuka watamkataa...

Watabaki kusema... Oh!.. huyu sio yesu mbona anaabudu kama waislamu! Ha ha ha...

Nchi inawatu wenye roho mbaya hii.
 
Mbona wanamchimba sana huyu dr dau.. Ilhali rais hajasema kitu kuhusu NSSF?
 
Kwa hiyo kila liandikacho gazeti ndiyo ukweli, nothing but ukweli? Litakuja gazeti lingine litasema kuna ufisadi NSSF. Tuchukue "ukweli" upi?

Sasa tunaelekea kushikiwa akili na magezeti, tena magazeti ya aina yake. Labda tusikie Mwananchi na Nipashe wanasemaje kuhusu hili.
kwani hukumsikia Rais alivyosema pale darajani?.
Hakuna hela iliyoliwa NSSF
 
Mbona wanamchimba sana huyu dr dau.. Ilhali rais hajasema kitu kuhusu NSSF?
hao ni wale timu lowasa na bavicha,si unakumbuka jk alivyowachezea hattrick,wanajitahidi eti kulipiza kisasi kwa kujaribu kubuni scandal na kuwahusisha watu waliokuwa karibu na jk,ili kumlink jk na scandal ,sasa kila wanapojitahidi wanafail
 
Haya ni maajabu ya mwaka nssf no fraud!
Mkuu hakuna alosema hivyo ila ni kigazeti cha ZZK kinaandika ujinga maana nae ni jipu akiwa PAC na upigaji hela huko Nssf soma mwananchi ndo kwenye taarifa kuwa Nssf hakuna ripoti ya CAG kwa kuwa haikuwa na board
 
Nani mmliki wa hilo gazeti, maana liko kikazi zaidi tangu liingie sokoni.
fala wewe tulishasema siku nyingi tatizo la huyo bwana sio suala la ufisadi bali ila sijda yake. kama ni kutukanwa haijaanza juzi mmekuwa mkimtukana miaka yote pamoja na kuliongoza shirika lile kwa mafanikio makubwa kabisa. na wakati huohuo hamuwazungumzii hao wa upande wenu wanaoongoza mifuko mingine japo hatuoni chochote cha maana wanachofanya ukilinganisha na anachofanya huyo mnayemtukana kila kukicha.
 
Teh teh teh...

Eti Ooooh Dr Dau ni mmiliki wa Newcastle United...!

Oooh Dau Dau ana utajir zaid wa Billgates...

Ukiwauliza chanzo chenu cha data ni kipi wanasema CAG Reports...

Afanaleeekiiii....!!

Wazandiki wakubwaaa
hawa jamaa wanashangaza sana big. wanashindwa kutofautisha kati ya madrasa product na sunday school product. hilo ndo tatizo lao haswaaaa.
 
Kwani we unafikiri, kwenye repoti yake ya kitaalamu anatumia neon huyu fisadi?

Huyu Bumbuli Corp, bwana Makamba pamoja na kelele zote zile...bado ameenda kufisadi mfuko wa NSSF? Mfuko wake unadhamani ya million mia, halafu yeye kushirikiana na Dau wanapeana Bilioni moja. Majizi haya hatari! Halafu ndio eti mawaziri na mkurugenzi mkuu.

View attachment 342601
 
kwa huyu CAG sishangai....
kwani anakagua peke yake? huyo ni mtu wa mwisho tu kusign lakini kazi kubwa hufanywa na wa chini yake. inawezekana kabisa hata ripoti yenyewe humfikia magufuli kabla ya huyo professor.
 
Nipo hapa kipempeni nimejibanza nakunywa Ferrero!

Ahahahahaha!!!
mkuu hawa jamaa wameumia/wanaumia sana. kama chuki zao zingekuwa ugonjwa basi wengi wao wangekuwa ICU.
 
Gazeti kama mwanaharibu ukiwa na hamsini elfu habari yako inatoka unavyotaka wewe gazeti la waganga njaa.
Cc,murusuli
lete basi hiyo taarifa yako unayofikiri ndo inaukweli zaidi ya hii ya CAG.
 
Back
Top Bottom