shinyangakwetu
JF-Expert Member
- Jun 25, 2015
- 2,487
- 2,394
Teh teh teh....mungu si binadamu useme umpe majungu ayafanyie kazi.hakika dr dau yupo upande wa mungu.Saiz watakuja za zile ngonjera zaoo oooh Alhajj Profesa Assad ni mjahidina mwenzake Dr Dauuu...
Bila shaka kafanya kumtetea...teh teh teh
Ebwana eeeeh Msimu wa embeee nyani hakondiii...
Saiz watakuja za zile ngonjera zaoo oooh Alhajj Profesa Assad ni mjahidina mwenzake Dr Dauuu...
Bila shaka kafanya kumtetea...teh teh teh
Ebwana eeeeh Msimu wa embeee nyani hakondiii...
Mbuzi katoliki hawana hoja tena.dah,ila Mungu hasikilizi majungu ya watu kwakweli.
Abb
Abbas hilo gazeti LA zito linasema uongo,ripoti ya audit iliyofanyika na Ernest and young ulikuwa bado haijapitishwa na board baada ya bodi kutumbuliwa siku moja kabla ya ukipitia,soma kipengele cha 9 gazeti mwananchi hapo juu,zzk ni jipu kwani yeye ndo alikuwa mwenyekiti wa PAC ilivyokuwa inaficha madudu ya dau
Abb
Abbas hilo gazeti LA zito linasema uongo,ripoti ya audit iliyofanyika na Ernest and young ulikuwa bado haijapitishwa na board baada ya bodi kutumbuliwa siku moja kabla ya ukipitia,soma kipengele cha 9 gazeti mwananchi hapo juu,zzk ni jipu kwani yeye ndo alikuwa mwenyekiti wa PAC ilivyokuwa inaficha madudu ya dau
We utuwekee hapa kama unayoUsiwe mvivu wa kufikiri
Ingia kwenye website ya CAG utakuta hiyo report
Weeeeee nani hakuiba humor serikalini?Acha ujinga maana siyo wakatoliki wote wanaunga mtu kuonewa kama hajafanya kosa. Je wakikujibu kuwa Asad siyo mtu sahihi maana yeye ni muislamu ungefurahi?Ndiyo maana wanazuoni wanamshauri Magu asitumbue kwa tetesi ataliingizia taifa hasara pale wakibainika hawakuiba.
Basi tumekusikia dau ni mwizi,vipi umejisikia raha?We utuwekee hapa kama unayo
Basi tumekusikia dau ni mwizi,vipi umejisikia raha?
Kweli hakuna ufisadi ila matumizi mabaya ya fedha na madaraka yalikuwa ya kupita kiasi
Hiligazeti ni la Zitto....mchange ndio analisimamia..wote walipiga Hela NSSF
Mungu akulinde dr dau
Hahahaaa, nchi imo katika hasara kubwa sana kuwa na watu aina yako.hiyo ni amri toka juu dau asiguswe. tumbua majipu ina double standard sana....