Granta
JF-Expert Member
- Mar 21, 2014
- 5,082
- 6,425
Mkuu kilaza, hicho kifupi alichokuandikia bi Faiza ni RETURN ON INVESTMENT... sasa Jibu kile ameuliza acha janja janjaKwamba ukitumia hicho kifupi ndo umeandiiika? Jibu nilichokuuliza.
Mkuu kilaza, hicho kifupi alichokuandikia bi Faiza ni RETURN ON INVESTMENT... sasa Jibu kile ameuliza acha janja janjaKwamba ukitumia hicho kifupi ndo umeandiiika? Jibu nilichokuuliza.
Wewe bado sana.Kwamba ukitumia hicho kifupi ndo umeandiiika? Jibu nilichokuuliza.
Wewe bado sana.
CCM ni ile ile.Unaisoma namba!
CCM ni ile ile.
Ukisikia kiherehere ndo hiko chako!!Mkuu ******, hicho kifupi alichokuandikia bi Faiza ni RETURN ON INVESTMENT... sasa Jibu kile ameuliza acha janja janja
Swali ni jepesi tu. Ungelijibu ndo uanze hizo jargons.Wewe bado sana.
Ukisoma huelewi. Pole sana.Swali ni jepesi tu. Ungelijibu ndo uanze hizo jargons.
Kama inakupa faraja chukulia hivyo tu. Ila inabaki kwamba hujajibu wala kuelezea hiyo 20%Ukisoma huelewi. Pole sana.
Nnajuwa u finyu tu mukichwa.
Huwezi kuelewa, huna uelewa huo. U finyu sana.Kama inakupa faraja chukulia hivyo tu. Ila inabaki kwamba hujajibu wala kuelezea hiyo 20%
Smart ....dada hajijui km hajuiKwamba ukitumia hicho kifupi ndo umeandiiika? Jibu nilichokuuliza.
Hujajibu wala kuelezea hiyo 20%. Elezea tu kwa urahisi kama ulivyoanza mwanzo ntakuelewa.Huwezi kuelewa, huna uelewa huo. U finyu sana.
Kwa hyo wewe unafurahi kuliona hata kama halina faida,sawa na unapoangalia masaburi yako ambayo hayana faida,tumia akili na si makalioUnaona kwanini haya kayafanya Dau na isiwe mgala mwenzako. Sema kweli tu.
Bila Dau msingeona jengo namna hilo Moshi.
Huna lolote fox wewe dau atavutwa kisutu atalamba mfueni na humu utasepaUkisoma huelewi. Pole sana.
Nnajuwa u finyu tu mukichwa.
Huna lolote fox wewe dau atavutwa kisutu atalamba mfueni na humu utasepa
Huelewi unachokisoma na huelewi unachokisema. Nnajuwa tatizo lako kubwa ni elimu hewa.Hujajibu wala kuelezea hiyo 20%. Elezea tu kwa urahisi kama ulivyoanza mwanzo ntakuelewa.
Wakati huohuo, hizo NSSF bldgs mpya Arusha walishashusha rent toka USD 12 hadi USD 8. Ndo ujue hayo Ma ROI, ROE, nk walibuma.
Povu la nini kijana, unadanganywa na wewe unakubali tu.Kwa hyo wewe unafurahi kuliona hata kama halina faida,sawa na unapoangalia masaburi yako ambayo hayana faida,tumia akili na si makalio
Kwa hiyo maslahi ya taifa ni kuwekeza kwa kutumia akili ya maiti na sii akili zako ukiwa hai,sema ukweli mijengo ya Nssf walitumia akili hai au ya maitiNnakusikitikia huelewi maslahi ya taifa maana yake nini.
Pole sana.
Povu la nini kijana, unadanganywa na wewe unakubali tu.
Dau yupo Malaysia anachapa kazi saa hizi.
Usilolijuwa ni usiku wa kiza.