CAG ashitukia ulaji mil.775/- kila heka NSSF

CAG ashitukia ulaji mil.775/- kila heka NSSF

Ela zilitumika kwenye makampeni ya chama la maulaji!nyie endeleeni kupiga mayowe na amta ambulia chochote hivi mnafikiri dau aliyafanya kwa utashi wake mwenyewe?
 
Ela zilitumika kwenye makampeni ya chama la maulaji!nyie endeleeni kupiga mayowe na amta ambulia chochote hivi mnafikiri dau aliyafanya kwa utashi wake mwenyewe?

Amefanya kwa utashi bila shuruti,we dau humjui vizuri ni dharau mwanzo mwisho hasa kwa makafiri na wagalatia,mkuu kuna mambo ya kutisha ni swala LA mda tuu
 
Amefanya kwa utashi bila shuruti,we dau humjui vizuri ni dharau mwanzo mwisho hasa kwa makafiri na wagalatia,mkuu kuna mambo ya kutisha ni swala LA mda tuu
Pamoja na hayo!kwa chama hiki hiki na viongozi wa mfumo huo huo unafikiri watamfanyaje?
 
Pamoja na hayo!kwa chama hiki hiki na viongozi wa mfumo huo huo unafikiri watamfanyaje?
Wallah haponi,vuta subra,jpm yeye ni low profile atamshughulikiwa na vyombo vongine jpm yeye keshanawa mikono believe me
 
Hivi hiyo 20pct kuwa inaleta breakeven unaitoa wapi? Huko shule mnafundishwaga kukariri? Huwezi break even wakati factors zote hujaweka.
Huyo dada ni kapu la mihogo maamuma mlango wa chuma ukiufungua hauna huruma yaani ni hasara(zero)
 
Hivi hiyo 20pct kuwa inaleta breakeven unaitoa wapi? Huko shule mnafundishwaga kukariri? Huwezi break even wakati factors zote hujaweka.

Unataka nikufungulie darsa la kufundisha ratios kijana? Haya faidika na darsa la FaizaFoxy wa JF.

What was the ROI projection which led to investment?

Ukijibu hilo, huna haja ya "factors" zako.

It seems your level is still below par in this game.
 
Unaona kwanini haya kayafanya Dau na isiwe mgala mwenzako. Sema kweli tu.

Bila Dau msingeona jengo namna hilo Moshi.
Dau bila mafao ya wafanyakazi msingetokwa povu km wenye vifaduro vile ...sijui wee dada unatumia kiungo gani kufikiri
 
Unataka nikufungulie darsa la kufundisha ratios kijana? Haya faidika na darsa la FaizaFoxy wa JF.

What was the ROI projection which led to investment?

Ukijibu hilo, huna haja ya "factors" zako.

It seems your level is still below par in this game.
Hilo ndio unaita darasa ???
 
Unataka nikufungulie darsa la kufundisha ratios kijana? Haya faidika na darsa la FaizaFoxy wa JF.

What was the ROI projection which led to investment?

Ukijibu hilo, huna haja ya "factors" zako.

It seems your level is still below par in this game.
Unanikumbusha

ROI = Net Profit / Total Investment ×100
 
Unataka nikufungulie darsa la kufundisha ratios kijana? Haya faidika na darsa la FaizaFoxy wa JF.

What was the ROI projection which led to investment?

Ukijibu hilo, huna haja ya "factors" zako.

It seems your level is still below par in this game.
Kwamba ukitumia hicho kifupi ndo umeandiiika? Jibu nilichokuuliza.
 
Back
Top Bottom