CAG ashitukia ulaji mil.775/- kila heka NSSF

CAG ashitukia ulaji mil.775/- kila heka NSSF

There is absolutely no justification ever for a piece of land at kigamboni which can be bought at a sky price of 775,000,000/= per acre! Usituletee na upuuzi wa mega real estate hapa! Huu ni ufisadi wa kiwango cha ibilisi! Niambie nani kigamboni alishauza kwa bei hata ya 30,000,000/= tu kwa eka? Huwezi kuamini kuna ibilisi nchi hii anayeweza kuthubutu kusema amenunua ardhi kwa bei ya milioni mia saba sabini na tano! (775,000,000) wakati wenye mfuko wanachama wa nssf wanakufa maskini! Huwezi kuamini pia kuwa nchi hii kuna mtoto wa ibilisi anayeweza kuona manunuzi hayo ni halali! Sema hadharani basi kuwa bei ya eka moja kigamboni miaka ile ilikuwa sh 775,000,000/=, naona unaogopa hata kuzitamka na kujificha kwenye lugha ya malkia ili wasikuelewe wote!
Hicho kigagula Faiza kinachoangalia kwake yeye ni udini tu kipuuzwe tu,vijitu sampuli hizo ni rahisi mno kuvishawishi hata kubeba mabomu na kwenda kujilipua kwenye umati wa watu
 
CAG alisema NSSF mambo ni safi na akadai bajeti yake imepunguzwa kutoka 70B mpaka 40 B , huko rim mmoja ya karatasi ikitengewa dolla 120, na biki ikinunuliwa 80uds
Mwendo mdundo ni ile ile tu hakuna jipya
 
Hicho kigagula Faiza kinachoangalia kwake yeye ni udini tu kipuuzwe tu,vijitu sampuli hizo ni rahisi mno kuvishawishi hata kubeba mabomu na kwenda kujilipua kwenye umati wa watu
Unabwabwaja na kuhororoja bila mpango.

Mkishindwa hoja mnaanza viroja.
 



Tukiongelea 20% kuwa ni breakeven kutokana na kodi ya jengo jipya tunaongelea running expenses na si total construction costs.

Hivi hizo shule mlienda kusomea ujinga?
Hivi hiyo 20pct kuwa inaleta breakeven unaitoa wapi? Huko shule mnafundishwaga kukariri? Huwezi break even wakati factors zote hujaweka.
 
Kuna majengo ya NSSF Moshi (Kilimanjaro Commercial Complex) na Arusha (Mafao House & NSSF Kaloleni) yani miaka 2 ss na yamepangishika chini ya 50%!! Na hakuna dalili yatajaa.

Hilo la moshi ndo majanga kabisa. Kubwa kupita mahitaji ya sasa ya Moshi. NSSF walikua wanaenda kama wamekatwa kichwa.
11f59d9064447ca9c1814060d405e779.jpg

Picha jengo la Moshi kwa hisani ya skyscrapercity.com

Mkuu kila nikiliona hilo jengo natamani shetani apitie kichwa cha dau,kraaaap
 
Wala, nnawaona majuha tu wanaolialia hovyo.

Hamna kati yenu ajuae real estate mega development investments zinakuwaje, bure mnajisumbua, hamuwezi. Dau yupo Malaysia anapiga mzigo tartiibu.

Nisikilizie madili ya Malaysia yatakavyomiminika sasa bongo.

Tena nnampa miezi sita akishazowea mazingira nnamfanyia safari hukohuko, nisizubae na mafursa atakayoyatengeneza.

Ile ni kichwa adhyim kabisa. Tazama yeye hayupo NSSF itakavyoyumba, utakuja kunieleza baada ya miaka miwili. Hukumbuki ilikuwaje kabla hajaichukuwa? Au ulikuwa bado kichinchiri hata mambo ya dunia huyaelewi?

Mkuu Nssf kuyumba ilishayumba back five yrs kwa sababu ukishindwa kulipa debtors wako kwa wakati we ni muflisi,kumbukumbu zinaonyesha kuwa alikuwa anashindwa kulipa mishahara,waloshindwa kulipa mafao(mfano ni juzi mwaka) mlimani city palijaa wanachama na waandishi habari walienda benk wakaambiwa Nssf hawana hela na Mara nyingi wanasingizia mtandao uko down,je kweli uongo? Kuthibitisha hilo karibu kudukua kwa staff yeyote wa NBC corporate utaujua ukweli,jamaa alikuwa akikusanya hata milion inakimbizwa kulipa deni,account zilikauka,ukitaka ukweli zaidi waulize wahasibu headofice na ma keshia jinsi walikuwa wanasumbuliwa na debtors,hivyo ili waje ku stabilize it will take time hata actuarial valuation ya ILO inaonyesha uncertainties Nssf,na wameshauri mifuko I merge kuokoa jahazi,dau baada ya kujua jk ataondoka aliamua kutapanya hovyo pesa za Nssf ntakuja na some facts humu mtafunga midomo tu
 
Mkuu Nssf kuyumba ilishayumba back five yrs kwa sababu ukishindwa kulipa debtors wako kwa wakati we ni muflisi,kumbukumbu zinaonyesha kuwa alikuwa anashindwa kulipa mishahara,waloshindwa kulipa mafao(mfano ni juzi mwaka) mlimani city palijaa wanachama na waandishi habari walienda benk wakaambiwa Nssf hawana hela na Mara nyingi wanasingizia mtandao uko down,je kweli uongo? Kuthibitisha hilo karibu kudukua kwa staff yeyote wa NBC corporate utaujua ukweli,jamaa alikuwa akikusanya hata milion inakimbizwa kulipa deni,account zilikauka,ukitaka ukweli zaidi waulize wahasibu headofice na ma keshia jinsi walikuwa wanasumbuliwa na debtors,hivyo ili waje ku stabilize it will take time hata actuarial valuation ya ILO inaonyesha uncertainties Nssf,na wameshauri mifuko I merge kuokoa jahazi,dau baada ya kujua jk ataondoka aliamua kutapanya hovyo pesa za Nssf ntakuja na some facts humu mtafunga midomo tu

Mkuu staff wa Nssf tuko na kitaa wanaongea ukweli wote kuhusu Nssf,nasikia kuna MENEJA wa risk yeye alikuwa anapika ripoti ili kumfurahisha bwanawe dau sasa kuna dogo mmoja alitaka kuhoji iweje ROI iwe positive wakati actually ni negative,na akawa anafuatilia ule utapeli wa dau na Newcastle kujenga academy ya michezo tunaambiwa dogo alifurushwa kapelekwa mlimani city baadae wakamnyang'anya laptop na mwisho wakamtupa singida baada ya fisadi dau kuondolewa dogo karudishwa aweze kuweka mambo hadharani,hawa watu ni mafya
 
Mkuu kila nikiliona hilo jengo natamani shetani apitie kichwa cha dau,kraaaap
Pesa iliyolijenga zaidi ya bilioni 40 ingetumika kujenga nyumba za wanachama wao zaidi ya 800 km kila moja ingegharimu milioni 50!

Faida ya hizo nyumba ni kubwa sana kuliko hilo jinamizi. Kwanza ndani mwake kweusi kama vile makazi ya popo
 
Pesa iliyolijenga zaidi ya bilioni 40 ingetumika kujenga nyumba za wanachama wao zaidi ya 800 km kila moja ingegharimu milioni 50!

Faida ya hizo nyumba ni kubwa sana kuliko hilo jinamizi. Kwanza ndani mwake kweusi kama vile makazi ya popo
Mijitu inapofusha ubonga na kumtetea nyang'ao kabisa
 
nchi ya wapiga dili hii mpaka ina tia hasira kwakweli.

ndio maana hata Mungu kailaani
 
Back
Top Bottom