CAG ashitukia ulaji mil.775/- kila heka NSSF

CAG ashitukia ulaji mil.775/- kila heka NSSF

Hahaaa malasya ni mbinguni au duniani maana kama yuko mbinguni hatuwezi kumpata tena ila humuhumu duniani wallahi pingu aibu yake

Mlete basi umshitaki , ya nini unaandikia mate na wino upo ?
 
Kwa hiyo maslahi ya taifa ni kuwekeza kwa kutumia akili ya maiti na sii akili zako ukiwa hai,sema ukweli mijengo ya Nssf walitumia akili hai au ya maiti


Kuna assets bora Tanzania hii zaidi ya majengo?

Onesha jengo moja la NSSF la wakati wa Dau linalotia hasara.

Isitoshe, Dau aliikuta hohehahe haina maana, wastaafu wanalia, mafao yao hawapewi mpaka kwa rushwa. Akai transform mpaka ikawa shirika bora la hifadhi katika Afrika na hakuna shirika la umma lenye kuinufaisha nchi hii zaidi ya NSSF yake a Dau. Kumbuka hilo na kama lipo litaje .
 
Karibuni Tanzania... Nchi ambayo kitu kirahisi Kukipata bila Rushwa ni Mimba tu
 
Kuna assets bora Tanzania hii zaidi ya majengo?

Onesha jengo moja la NSSF la wakati wa Dau linalotia hasara.

Isitoshe, Dau aliikuta hohehahe haina maana, wastaafu wanalia, mafao yao hawapewi mpaka kwa rushwa. Akai transform mpaka ikawa shirika bora la hifadhi katika Afrika na hakuna shirika la umma lenye kuinufaisha nchi hii zaidi ya NSSF yake a Dau. Kumbuka hilo na kama lipo litaje .
Kalikuta hohehahe kaliacha mochwari,sikatai kama majengo ni asset kubwa ila umakini ktk kuwekeza,ukiangalia majengo yote utadhani waliojenga walikuwa wamekatwa vichwa,hawakufanya feasibility study hivyo utaona kabisa bongo zao zilikuwa zimekufa
 
Kalikuta hohehahe kaliacha mochwari,sikatai kama majengo ni asset kubwa ila umakini ktk kuwekeza,ukiangalia majengo yote utadhani waliojenga walikuwa wamekatwa vichwa,hawakufanya feasibility study hivyo utaona kabisa bongo zao zilikuwa zimekufa
Thubutu, kanisome tena, maana unaonesha huelewi unachokisoma.

Mheshimiwa balozi Ramadhan Dau kwa sasa anamuwakilisha rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania nchini Malaysia na jirani za huko.
 
Thubutu, kanisome tena, maana unaonesha huelewi unachokisoma.

Mheshimiwa balozi Ramadhan Dau kwa sasa anamuwakilisha rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania nchini Malaysia na jirani za huko.
Sikatai kuwa anamuwakilisha raisi,na hilo halivinyimi vyombo husika kutokumshitaki,balozi profesa mahalu alirudishwa na kushtakiwa,dau nani bwana?madudu aliyoyaacha Nssf ni mengi mno,hakwepi mkono wa sheria
 
Hii mifuko ya jamii ina wezi wakubwa sana ndio maana mafao ya wastaafu kila kukicha ipo chini hata kuwalipa ni issue!
 
Kuna assets bora Tanzania hii zaidi ya majengo?

Onesha jengo moja la NSSF la wakati wa Dau linalotia hasara.

Isitoshe, Dau aliikuta hohehahe haina maana, wastaafu wanalia, mafao yao hawapewi mpaka kwa rushwa. Akai transform mpaka ikawa shirika bora la hifadhi katika Afrika na hakuna shirika la umma lenye kuinufaisha nchi hii zaidi ya NSSF yake a Dau. Kumbuka hilo na kama lipo litaje .
Unamtetea Dau kwasababu ya udini tu pumbaf
but Dau is a thief
 
Kalikuta hohehahe kaliacha mochwari,sikatai kama majengo ni asset kubwa ila umakini ktk kuwekeza,ukiangalia majengo yote utadhani waliojenga walikuwa wamekatwa vichwa,hawakufanya feasibility study hivyo utaona kabisa bongo zao zilikuwa zimekufa
Wanajenga majengo kwa pesa kiduchu kuficha kikubwa walichokwiba,mahayawani wakubwa hawa washenzi wanaostahili kufyekwa vichwa vyao tu
 
Thubutu, kanisome tena, maana unaonesha huelewi unachokisoma.

Mheshimiwa balozi Ramadhan Dau kwa sasa anamuwakilisha rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania nchini Malaysia na jirani za huko.
Dada nikionaga comments zako huwa nachefukwa napata kichefuchefu
 
Sikatai kuwa anamuwakilisha raisi,na hilo halivinyimi vyombo husika kutokumshitaki,balozi profesa mahalu alirudishwa na kushtakiwa,dau nani bwana?madudu aliyoyaacha Nssf ni mengi mno,hakwepi mkono wa sheria
Swadakta dau ni jizi bobezi
 
Magu kaingia mitini kwenye hili! KULIKONI!?

Mbona ni simple ....Kama milion 700 ililiwa kwa kila Eka na CAG anao ushahidi kinachofuata ni hatua gani ichukuliwe!

OVA
 
Back
Top Bottom