Lax
JF-Expert Member
- Feb 10, 2022
- 10,841
- 15,358
Mbona sasahivi yapo mawili? Sio matatu?Mashindaano yalibadilishwa jina na mfumo ila ni yale yale.
Mbona sasahivi yapo mawili? Sio matatu?Mashindaano yalibadilishwa jina na mfumo ila ni yale yale.
Angalia bingwa wa shirikisho mwaka 1993 ni nani? ujiulize alicheza na nani ?maana mabingwa wapo wameorodheshwa au nikupatie orodha ili ujinga ujinga ukutokeWale waliodai ati Simba alicheza final ya CAFCL na Stella Abidjan 1993
CAF wenye mashindano wamekanusha
Hizi propaganda tu Abiola cup mbumbumbu wakaita final ya CAFCC View attachment 3317887
Caf wamesema hii ni fainali ya kwanza - wakilenga confederationHadhi ya pili halipo, Hadhi ya tatu ndio confederation ya sasa, Huu mfumo ni wa ulaya Caf wanaiga tu.
Ulaya kulikua na makombe matatu
1. Champions league ambao wanafuzu mabingwa tu
2. Cup winners cup ambao wanafuzu waliochukua Fa cup za Nchi tu.
3. UEFA CUP ambayo wanafuzu washindi wa pili wa ligi.
Ulaya wa kavunja Cup winners cup na Europa league na kutengeneza Europa league.
Same kwa Africa tukatoa Cuf Cup na kombe la washindi tu katengeneza Confederation
So Cuf Cup ndio jina la zamani la Confederation na mshindi wa pili (ama watatu na nne incase taifa lina rank kubwa) anaenda kucheza huko.
Kombe la washindi halipo kabisa sababu hata FA zilivunjwa tuna miaka mingi hatuchezi hadi karibuni ilipoanzishwa tena.
Ni sahihi kwakuwa wamefanya hivyo baada ya mabadiliko.Caf wamesema hii ni fainali ya kwanza - wakilenga confederation
Caf yeye baada ya kuyaunganisha--- kaanza kuhesabu upya mkuu
Tusamehe mkuuUtopolo inacheza mechi za kimataifa huko mtaa wa Gombani Kusini pemba

.Haki yako kutambaWakati Simba anacheza Fainali ya Abiola Yanga ilikuwa haijaanzishwa ama vipi?Tatizo taifa hili ni la watu wajinga viongozi wa timu , mashabiki mpaka tff.
Makombe yalikua matatu
Simba alicheza lenye hadhi ya mwisho (tier 3)
Baadae lenye hadhi ya pili na tatu wakaunga(au kuvunja) kutengeneza hili shirikisho la sasa.
Lakini kuna baadhi ya mashabiki , timu yenyewe huwaambii kitu hapa.
Nilikuja kukata tamaa raisi ws tff huyu karia-- yanga walivofika fainali , akaswma hata simba alifika mwaka 93, bila ya kutoa ufafanuzi wowote
CAF katoa ukumbusho -- tuwe realistic
upo sahihi mkuu --- lakini wapi nimesema mimi ni yanga? --- jambo hili watu wanabishana kijingajinga tu kila siku sababu ya uelewa .Wakati Simba anacheza Fainali ya Abiola Yanga ilikuwa haijaanzishwa ama vipi?
Kama Caf walianzisha kikombe na Simba akacheza fainali na Yanga hawakucheza moja kwa moja Simba anamzidi pakubwa Yanga kimataifa kwa sababu Simba Amecheza fainali mashindano mawili ya Caf Kuliko timu yoyote hapa Tanzania je hili mnabisha wana Yanga?
Nyie ndio hasa hamna amaniNawapopoa watani zangu
Kuhakikisha wanakosa amani
Angalia livimba macho lingine!Hizi ngonjera tulikuwa tunasikia tokea mechi na Ahly Tripoli.Topic ya uzi ni nini?Au umedandia tu.Ndio mnakuja kupata mimba za utotoni kudandia dandia tu.Kwa timu ipi uliyonayo ya kumfunga Berkane na kuchukua ubingwa?
Basi ndio kafika sasa. Jinyonge ukipendaWale waliodai ati Simba alicheza final ya CAFCL na Stella Abidjan 1993
CAF wenye mashindano wamekanusha
Hizi propaganda tu Abiola cup mbumbumbu wakaita final ya CAFCC View attachment 3317887
Wewe umekuwa kama kiwakilishi tuupo sahihi mkuu --- lakini wapi nimesema mimi ni yanga? --- jambo hili watu wanabishana kijingajinga tu kila siku sababu ya uelewa .
kundi kubwa tu wanaoponda na wanaotetea hawaelewi context zaidi ya ushabiki.
kwingine kote tupo sambamba
si km nyinyi mwaka wajuzi hamkulala,mmpo fainali ila bado unaumia na huo ukweli wa CAFPole sana kakaa... Unateseka na simba kuliko maisha yako , lala ujue brother
Yaani wewe una roho mbaya ya kichawi live kabisaa una chuki na simba mnooo
Leo hulali wewee una maumivu makali sana utaanzisha nyuzi mpk maji asubuhi wawe makini familia yako waweza jiua wewe maana stress zimekujaa hapo
Yeah,Wale waliodai ati Simba alicheza final ya CAFCL na Stella Abidjan 1993
CAF wenye mashindano wamekanusha
Hizi propaganda tu Abiola cup mbumbumbu wakaita final ya CAFCC View attachment 3317887
Tarehe 27/04/2025, Simba walifika fainali ya CAFCC baada ya kuiondoa Stellenbosch ya South Africa katika nusu fainali kwa jumla ya mabao 1-0CAF wamethibitisha Simba hajawahi kufika final CAFCC
Pole sana kwa uchungusi km nyinyi mwaka wajuzi hamkulala,mmpo fainali ila bado unaumia na huo ukweli wa CAF
Ile 2X wanayopost kwenye page zao wameitoa wapi?Wale waliodai ati Simba alicheza final ya CAFCL na Stella Abidjan 1993
CAF wenye mashindano wamekanusha
Hizi propaganda tu Abiola cup mbumbumbu wakaita final ya CAFCC View attachment 3317887
pole na wewe piaPole sana kwa uchungu