CAF wamethibitisha Simba hajawahi kufika final CAFCC

CAF wamethibitisha Simba hajawahi kufika final CAFCC

Hii ndo hoja yangu
Mbumbumbu wamenishambulia mno
Muda sio muafaka tu furaha ya ushindi--- ila jambo hili lingetatuliwa mapema -- post ya caf isingekuja na machungu kwa mashabiki


Uzuri page ya timu wajanja sana-- fainali ya pili michuano ya caf

Lugha wameiweka kimkakati sana-- kazi kwa mashabiki
 
The CAF Cup was an annual competition organised by the CAF for domestic leagues runners-up of member associations who have not qualified to one of the two pre-existing CAF international club competitions the African Cup of Champions Clubs or the African Cup Winners' Cup.

The Moroccan club Raja CA was the last to hold the trophy in 2003 defeating the Cameroonian Cotonsport de Garoua in the final.

In 2004, the CAF Cup was merged with the African Cup Winners' Cup, and was renamed the CAF Confederation Cup, again following the European example of the UEFA Europa League.[1]

The tournament was founded in 1992 and modeled after the European UEFA Cup. Trophy was named after Moshood Abiola, a Nigerian businessman, publisher and politician and the first Director of Sports in independent Nigeria.

The CAF Cup was the idea of the past CAF president, Issa Hayatou who successfully made 1992 the year of African football. The competition was initiated soon after the successful 1992 African Cup of Nations in which twelve finalists participated in the competition for the first time in the history of the African competition. 31 teams participated in the CAF Cup's first edition, and the Nigerian club Shooting Stars F.C. were the first to hold the cup after defeating the Ugandan Villa SC in the final.
 
Soma hii.
Screenshot_20250427-223541.png
 
Mwandishi amesema Simba make it to their first ever Total energies CAFCC

Simba amefika fainali kipindi ambacho haya mashindano yalikuwa katika form nyingine tofauti na sasa.

Maana yake tangu mashindano haya yafanyiwe amendment 2004 Simba hajawahi kufika hatua hii.

Kwa hiyo baada ya haya mashindano kuunganishwa na ku-form Confederation Cup, Simba inakuwa inaandika rekodi mpya ya kufika fainali tangu kombe hili lifanyiwe maboresho.
 
Huyo admin ni hawezi kujua kila kitu ni katoto...ndio maana BBC,CAF in details wameweza kufafanua hilo.
 
Wapi Simba wamesema wameingia Fainali ya shirikisho mara mbili? Kama lugha ngumu kuna Google translate
 
Utopolo inacheza mechi za kimataifa huko mtaa wa Gombani Kusini pemba
Sisi ndiyo Simba SC AKA;

1. Makolokolo SC.
2. Mbumbumbu SC.
3. Malalamiko (Lia lia) SC.
4. Makelele SC.
5. Mipang'ang'a SC.
6. Madunduka SC.
7. Manyang'au SC.
8. Manyaunyau (Mapaka) SC.
9. Mazumbukuku SC.
10. Mikia SC.
11. Mwakarobo SC.
12. Ngada SC
13. Zuwena SC.
14. Kufa kiume SC.
15. Kikanuni SC.
16. Panya Roads SC.
17. Bebwa bebwa (Mbeleko) SC.
18. Bahasha SC
19. 5imba SC.
20. Ubaya Ubwege SC.
21. Manguruwe SC.
22. Objective Football SC.
 
Pole sana kakaa... Unateseka na simba kuliko maisha yako , lala ujue brother
Yaani wewe una roho mbaya ya kichawi live kabisaa una chuki na simba mnooo
Leo hulali wewee una maumivu makali sana utaanzisha nyuzi mpk maji asubuhi wawe makini familia yako waweza jiua wewe maana stress zimekujaa hapo
Think tanks za Makolokolo piwa 😄

Ubinadamu ni kazi/The humanity is work.
 
Wale waliodai ati Simba alicheza final ya CAFCL na Stella Abidjan 1993
CAF wenye mashindano wamekanusha

Hizi propaganda tu Abiola cup mbumbumbu wakaita final ya CAFCC View attachment 3317887
Makombe yanabadilishwa jina,

CAFCC limeanzishwa 2004, hivyo Caf wapo sahihi simba hawajawahi kufika Finali ya CAFCC ila pia haipingani kwamba simba hajawahi fika fainali ya mashindano ya Africa ambayo wakati huo Yalikua yanaitwa Jina jengine Caf Cup.

Cuf Cup lilianzishwa 1992 mpaka 2004 ndio likawa replaced na CAFCC.

Hii hapa Article ya 1993 ikionesha mashindano ya Caf cup fainali.
 
Tatizo taifa hili ni la watu wajinga viongozi wa timu , mashabiki mpaka tff.

Makombe yalikua matatu
Simba alicheza lenye hadhi ya mwisho (tier 3)

Baadae lenye hadhi ya pili na tatu wakaunga(au kuvunja) kutengeneza hili shirikisho la sasa.

Lakini kuna baadhi ya mashabiki , timu yenyewe huwaambii kitu hapa.

Nilikuja kukata tamaa raisi ws tff huyu karia-- yanga walivofika fainali , akaswma hata simba alifika mwaka 93, bila ya kutoa ufafanuzi wowote


CAF katoa ukumbusho -- tuwe realistic
Mashindaano yalibadilishwa jina na mfumo ila ni yale yale.
 
Tatizo taifa hili ni la watu wajinga viongozi wa timu , mashabiki mpaka tff.

Makombe yalikua matatu
Simba alicheza lenye hadhi ya mwisho (tier 3)

Baadae lenye hadhi ya pili na tatu wakaunga(au kuvunja) kutengeneza hili shirikisho la sasa.

Lakini kuna baadhi ya mashabiki , timu yenyewe huwaambii kitu hapa.

Nilikuja kukata tamaa raisi ws tff huyu karia-- yanga walivofika fainali , akaswma hata simba alifika mwaka 93, bila ya kutoa ufafanuzi wowote


CAF katoa ukumbusho -- tuwe realistic
Hadhi ya pili halipo, Hadhi ya tatu ndio confederation ya sasa, Huu mfumo ni wa ulaya Caf wanaiga tu.

Ulaya kulikua na makombe matatu
1. Champions league ambao wanafuzu mabingwa tu
2. Cup winners cup ambao wanafuzu waliochukua Fa cup za Nchi tu.
3. UEFA CUP ambayo wanafuzu washindi wa pili wa ligi.

Ulaya wa kavunja Cup winners cup na Europa league na kutengeneza Europa league.

Same kwa Africa tukatoa Cuf Cup na kombe la washindi tu katengeneza Confederation

So Cuf Cup ndio jina la zamani la Confederation na mshindi wa pili (ama watatu na nne incase taifa lina rank kubwa) anaenda kucheza huko.

Kombe la washindi halipo kabisa sababu hata FA zilivunjwa tuna miaka mingi hatuchezi hadi karibuni ilipoanzishwa tena.
 
Sasa hivi jambo kubwa ni Simba kuleta ubingwa wa Africa Kwa mara ya kwanza. Utopolo wamesikia Simba anaanzia ugenini wamepagawa huko.
Kwa timu ipi uliyonayo ya kumfunga Berkane na kuchukua ubingwa?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom