CAF wamethibitisha Simba hajawahi kufika final CAFCC

CAF wamethibitisha Simba hajawahi kufika final CAFCC

ngara23

JF-Expert Member
Joined
Aug 31, 2019
Posts
15,778
Reaction score
36,005
Wale waliodai ati Simba alicheza final ya CAFCL na Stella Abidjan 1993
CAF wenye mashindano wamekanusha

Hizi propaganda tu Abiola cup mbumbumbu wakaita final ya CAFCC
Screenshot_20250427-224817.png
 
Pole sana kakaa... Unateseka na simba kuliko maisha yako , lala ujue brother
Yaani wewe una roho mbaya ya kichawi live kabisaa una chuki na simba mnooo
Leo hulali wewee una maumivu makali sana utaanzisha nyuzi mpk maji asubuhi wawe makini familia yako waweza jiua wewe maana stress zimekujaa hapo
 
Wale waliodai ati Simba alicheza final ya CAFCL na Stella Abidjan 1993
CAF wenye mashindano wamekanusha

Hizi propaganda tu Abiola cup mbumbumbu wakaita final ya CAFCC View attachment 3317887
Tatizo taifa hili ni la watu wajinga viongozi wa timu , mashabiki mpaka tff.

Makombe yalikua matatu
Simba alicheza lenye hadhi ya mwisho (tier 3)

Baadae lenye hadhi ya pili na tatu wakaunga(au kuvunja) kutengeneza hili shirikisho la sasa.

Lakini kuna baadhi ya mashabiki , timu yenyewe huwaambii kitu hapa.

Nilikuja kukata tamaa raisi ws tff huyu karia-- yanga walivofika fainali , akaswma hata simba alifika mwaka 93, bila ya kutoa ufafanuzi wowote


CAF katoa ukumbusho -- tuwe realistic
 
Tatizo taifa hili ni la watu wajinga viongozi wa timu , mashabiki mpaka tff.

Makombe yalikua matatu
Simba alicheza lenye hadhi ya mwisho (tier 3)

Baadae lenye hadhi ya pili na tatu wakaunga(au kuvunja) kutengeneza hili shirikisho la sasa.

Lakini kuna baadhi ya mashabiki , timu yenyewe huwaambii kitu hapa.

Nilikuja kukata tamaa raisi ws tff huyu karia-- yanga walivofika fainali , akaswma hata simba alifika mwaka 93, bila ya kutoa ufafanuzi wowote


CAF katoa ukumbusho -- tuwe realistic
Hii ndo hoja yangu
Mbumbumbu wamenishambulia mno
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom