CAF Champions League

CAF Champions League

Sasa naelewa kwa nini huwa wanasema magoli meng uwanja wa nyumbani ni nusu ushindi....

Tungewalaza Taifa hawa magoli mawili tuuuu....sasa hivi ingekuwa ni nderemo

naomba Mungu zisiongezwe 30.,ntajifia
 
Yanga wajitahidi wapata walau bao moja, hapo waarabu itabidi wapige 2 ili wapite.
 
Mzee mwinyi aombwe msamaha alisha laani mpira wa tz kwa kuita ni kichwa cha mwenda wazimu
 
FULL TIME:

=============
Al Ahly 1-0 Yanga
=============

yanga ni club bora kupita zote east and central africa , yanga hata ikishindwa imeonyesha uwezo . ingekuwa simba mechi ingekuwa imeisha muda mrefu yanga oyeeeeeeeee
 
Sasa naelewa kwa nini huwa wanasema magoli meng uwanja wa nyumbani ni nusu ushindi....

Tungewalaza Taifa hawa magoli mawili tuuuu....sasa hivi ingekuwa ni nderemo
Tulizembea sana and we had all the resources kuwafunga magoli mawili.....saa hizi ningekuwa napuliza Vuvuzela langu tu mtaani kwetu
 
Back
Top Bottom